Nitamwambiaje Mke wangu mimi ni 'Atheist'?

Nitamwambiaje Mke wangu mimi ni 'Atheist'?

uislamu unazitambua dini zingine, ambazo zimejumuishwa na kuitwa "dini za kinasara".. kwa mujibu wa uislamu ni kua " uislamu ni dini ya kweli" na dini ya haki kuliko zote zingine.
"Kwa mujibu wa uislam"

As long as umesem kwa mujibu wa uislam basi hiyo ni boundary kwamba wasio waislamu haiwahusu maana siyo haiko katika muktadha wa universal

Ushawahi jiulize kwa mujibu wa hizo dini zingine zinauchukuliaje uislam?

Ushawahi kujiuliza kwa mujibu wa dini zingine zinajichukuliaje kama ni dini za haki au la?

Kwani dini gani ambayo imejinasibu kwa mujibu wa mafundisho yake kua sio dini ya haki na kuitaja dini yako kua ndio ya haki?

Sasa ukitaka tufanye hitimisho kwa kutumia keyword "kwa mujibu wa dini husika" kuangalia dini ipi ni ya haki tutapata ukweli, kweli hapo?
 
Kwa nini wafia dini mnakuwa na hasira hivi kwa watu ambao hawaamini Imani zenu? Kama huyo mungu yupo si ataniadhibu Mimi wewe inakuuma Nini?
Ha haaaa ..
Wafia dini wanakuwa hawajitambui.
Mimi si muumini wa dini karibu mwaka wa 5 huu.

Naamini uwepo wa Mungu muumbaji lakini sikubaliani na mashariti ya ajabu na hadithi nyingi za kwenye dini na vitabu vya hizo dini.

I don't go to the church anymore, nishafuatwa na ndugu wazee, watu wa jumuiya nimewapiga kiswahili tu nitakuja siku sababu zangu za kuto shiriki shughuli za dini zikiisha. Nimewaheshimu tu hao wadau wasijisikie vibaya niliona nikiwapa challenge kuhusu imani yao ya kidini nitawachanganya sana au wataniona nawadharau.

Ndugu nimeshawaambia nikifa wanizike namna watakavyo au hata wakinichoma moto sawa tu.

Mtu akifa ameshakufa ni biomass tu hafufuki wala hasikii kitu au kuona chochote. Hakuna hukumu wala nini.

Nitaamini hivi until further proof of resurrection is presented to me, and with reasonable arguments.
 
Hivi kwanini atheists wengi wana asili ya Ukristo?
Kwa bahati mbaya Ukristo siku hizi asilimia kubwa imekuwa dini ya wapigaji na matapeli.

Kuna madhehebu makubwa na makongwe..wameweka pesa kama kigezo cha uhai wa imani ya muumini.
Haya madhebu ya mitume na manabii ndio kabisaaa..full kulaghai pesa za akina mama kwa kutumia miujiza na mahubiri feki.

Ukristo unaelekea kufa kama unavyoonekana nchi za ulaya endapo viongozi wa dini hawaatachukua tahadhari na kubadili muundo wa uendeshaji
 
Kwa bahati mbaya Ukristo siku hizi asilimia kubwa imekuwa dini ya wapigaji na matapeli.

Kuna madhehebu makubwa na makongwe..wameweka pesa kama kigezo cha uhai wa imani ya muumini.
Haya madhebu ya mitume na manabii ndio kabisaaa..full kulaghai pesa za akina mama kwa kutumia miujiza na mahubiri feki.

Ukristo unaelekea kufa kama unavyoonekana nchi za ulaya endapo viongozi wa dini hawaatachukua tahadhari na kubadili muundo wa uendeshaji
Dini zote ni upigaji tu utofauti ni kuzidina madau tu

Sadaka kwa ukristo kwa uislam swadaka

Ni namna fulani hivi ya kiupekee kujitofautisha na mwengine ila wote wanasimamia mstari mmoja

Ni vipengele vidogo vidogo tu ambavyo mnatofautina mfano kama ishu ya fungu la kumi kwa uislam hakuna
 
Mkuu labda kwa sababu unaishi Tanzania bara, ambayo mostly ni nchi inayofuata secularism

Kwa hiyo ni uongo Zanzibar hawakamatwi wakifungua restaurants kipindi Cha Ramadhani?

Nchi za Saudia, Iran, Misri, Qatar n.k hawakati watu kwa kunywa pombe sababu ni kinyume na Uislam?

Hakuna adhabu ya kifo kwa wanaoacha Uislam?View attachment 1666281
Usidhani hajui...Hayo yote anajua ila anafanya kitu kiaitwa taqiya yani kuwapumbaza wale wachache watakaopitia uzi huu ambao hawajui
 
Tofautisha UISLAMU na WAISLAMU,si kila linalofanywa na anayejiita Muislamu ,ndio Uislamu.Na hapa ndio wengi wanapokosea,huwa wanaangalia wanaojiita waislamu,kuliko kuuwangalia uislamu wenyewe.
Okay Basi tufumbie macho waislam wanayoyafanya huko Uarabuni ya kuua waislam wengine wanaouacha uislam.
Turudi kwenye uislam wenyewe,Kwani uislam unasema adhabu ya mtu anayeacha uislam ni nini?
 
hivi nyie ambao hamnaga dini mkifaga mnazikwaga wapi?

Maana huwa tunawaona mpo busy kwenye makaburi yetu(wenye dini)

Nikajua nyie kwasababu wacha mungu na kila kitu kinawezekana kwa imani nikajua utasema kwanini nyie atheist hampai mbinguni kama sisi..... kumbe nanyie mnakufa tu kama atheist?

So now una komaa unataka ujitofautishe na atheist kwenye mazishi na mfumo wa makaburi baada ya your imaginary god kushindwa kuwaepusha na kifo
 
We angalia imani yako kama huna imani na kanisani acha tuu kama uta enda utakua ume mfuata mkeo kanisani tafuta pesa MUNGU popote yupo
 
Okay Basi tufumbie macho waislam wanayoyafanya huko Uarabuni ya kuua waislam wengine wanaouacha uislam.
Turudi kwenye uislam wenyewe,Kwani uislam unasema adhabu ya mtu anayeacha uislam ni nini?
haadhibiwi mkuu, ila atakua ni mwenye hasara tu!..
 
Atheist miyeyusho. Atheist gani unafunga ndoa kanisani?
Wewe wanena 😀 aethist wa kuchovya huyu, kaenda kanisani kafunga ndoa na viapo vya kanisani wakati angetoa mahari kimila tu angemaliza kila kitu na kwenda kwa DC.

Everyday is Saturday................................😎
 
Atheist miyeyusho. Atheist gani unafunga ndoa kanisani?
Case closed
giphy.gif
 
Back
Top Bottom