Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
walikuwa na soft relationship so no maumivu
huyo dada kama na yeye alikaaga akasema ana mchumba atakuwa amejizembea mwenyewe, uchumba upi hapo?...
walikuwa na soft relationship so no maumivu
siongelei ww mke wangu
hahaaaaaaaa lol!!
afadhali umenishusha hasira maana duh............
Wewe hukujali unafiki wala kufikiria mwenzako atajisikia vipi ukafanya maamuzi eti kwa sababu wewe ni dume halafu unataka ushauri. we ngoja huyo uliyenae amegwe halafu uombe ushauri. Ninyi ndiyo mnaotuharibia matokeo yake kina mama wanatuona wot sh|:><?@!y
I knw u my twini najua ulikuwa unakaribia kumshushia kichapo,shemejio si unamuona anavyoniheshim?
wat do u mean sababu hazizuiliki? in ur post sijaona sababu sisizo zuilika zen badae utasema shetani tu alinipitia sijui kwann nyinyi hammpitii huyo shetani
3 years you been lying to her?
mbona unitambulishi kwa mashemejiiiiiiii
mbona unitambulishi kwa mashemejiiiiiiii
Pole sana utapata mwingine naona kama hasira unahamishia kwangu sio mimi lakini
Pole sana utapata mwingine naona kama hasira unahamishia kwangu sio mimi lakini
mbona tunafahamiana au shemeji nani Babra??
Pole sana utapata mwingine naona kama hasira unahamishia kwangu sio mimi lakini
you didnt tell her umeowa..if thats not lying then what ?
ww umetaka ushauri unapewa unaanza kuwapa pole wake za watu ulomuhumiza ujampa pole bado be sirious man
ww umetaka ushauri unapewa unaanza kuwapa pole wake za watu ulomuhumiza ujampa pole bado be sirious man
nilishampata,wala sijahamishia hasira kwako but imesemwa tutavuna tulichopanda