laussane
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 255
- 131
- Thread starter
- #41
laana haitoki kwa mzazi tu,unakumbuka ww(mume)wangu ulimpa laana yule aliekuuzia vitu feki?so kama huyu msichana alikuwa na commtment za ukweli na huyu kaka,kampotezea mda etc Mungu ninaemuamini mm dada huyu akiomba,am telling u,atatuandikia tena na kuomba msamaha
Pearl Pole sana seems uliumizwa sana lakn thats life sometime it happens na kwasbb ambazo hazizuiliki