Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
Ni mchumba ambae sijadate nae hata once ila alikuwa mchumba tu kwa kuwa namuona binti na nampenda, lakini sijashare nae mapenzi naomba nieleweke! zaidi ni sms na kupigiananae simu tu
Mwambie kuwa umeoa, na usimpe sababu za kumuoa huyo mwingine, mwambie tu kuwa umeoa. Ila umwombe msamaha kwa kupoteza muda wake na kubreak heart; atumia lakini baada ya muda atapona.
Ni vizuri akisikia toka kwako kuliko akisikia kwa mwingine, kwa hiyo fanya hima umwambie mapema