THE JAGGERS
JF-Expert Member
- Apr 3, 2023
- 444
- 292
Habari zenu wana JF katika jamvi.
Naomba ushauri wenu jamani. Miaka mitatu iliyopita niliwahi kuwa katika mahusiano na demu fulani hivi hakika nilimpenda sana ila ikafika tamati yetu tukaachana.
Baada ya hapo nilitembea na wasichana wengi wasiokuwa na idadi lakini sikuwahi kumpenda yeyote yule kila nikijitahidi hata kupenda nashindwa naombeni ushauri wenu jamani.
Naomba ushauri wenu jamani. Miaka mitatu iliyopita niliwahi kuwa katika mahusiano na demu fulani hivi hakika nilimpenda sana ila ikafika tamati yetu tukaachana.
Baada ya hapo nilitembea na wasichana wengi wasiokuwa na idadi lakini sikuwahi kumpenda yeyote yule kila nikijitahidi hata kupenda nashindwa naombeni ushauri wenu jamani.