Nitamtambuaje mwanamke aliyetoka kutoa mimba?

Nitamtambuaje mwanamke aliyetoka kutoa mimba?

Mjomba peleka yeye hospital kumsaidia hayo maumivu na hata msipoenda hospital na akawa ni kweli alitoa ni wazi hawajamsafisha vizuri na soon ataumwa zaidi.
 
Kwanza kwanini unawaza yote hayo? Je kama hakupokea taarifa kwa bashasha kwa sbb anajua utamkuta period na yy alitamani siku ukirudi akupe yote je?
 
Nilikuwa mbali na familia yangu miezi tisa, zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza safari nikawa nimempa taarifa mke wangu kwamba siku fulani nitakuwa nyumbani. Niligundua hiyo taarifa haikumfurahisha kwani hakuipokea kwa bashasha. Stori isiwe ndefu, nilifika nyumbani tarehe 18 mwezi huu, kilichonifanya nianzishe uzi huu hapa ni hiki.

Nimemkuta akiwa anablidi na akilalamika maumivu makali sana ya tumbo. Nahisi alikuwa ana mimba sasa kaamua kuichomoa. Napenda nijiridhishe kitaalam kama inawezekana, ndiyo maana nimekuja kwenu ili mnipe elimu kama kuna vipimo vya kisasa au njia nyingine mbadala ya kumtambua mwanamke aliyetoa mimba.

Asanteni.
Akiwaga kwenye siku zake huwa hapati maumivu ya tumbo?
 
Write your reply...
Kwa vile umeshamhisi vibaya tafuta namna ya kumpeleka hospitali uliyokwisha tayarisha na daktari mwaminifu akusaidie kupima hiyo afya yake na kumtibu tumbo. Kumbuka hilo la kutoa mimba sio mbaya kama atakuwa amepata UKIMWI huko anakoenda pekupeku.
 
Amini anachokuambia, la...na wewe unamcheza na unatafuta sababu ujisikie unachofanya ni sawa.
 
Dah! hivi kuna kitu kinauma kama ukigundua umegongewa? hasa mke sio mpenzi hapana. Mke, yaani umelipia mahari na ndoa juu na watoto 😬😬😬 inauma kichizi tena ugundue hadi kapata mimba alafu akatoa yani dah! kama una roho nyepesi usichunguze bhana utaleta madhara, baada ya kugundua ni ngumu kufanya maamuzi positive.
 
Baada ya Mungu zinafuata pesa,siwezi kuacha kwenda kutafuta pesa kwa kuogopa kugongewa,kwasababu najua sio wake za watu wanaogongwa wamesafiri na kukaa muda mrefu huko wanakokwenda,halafu maumivu ya kugongewa kapuku na mwenye chochote kitu ni tofauti.
Kauli hio inaashiria UBINGWA,,,,imekaa Kishujaa sana....

PELEKA MKEO HOSPITAL,,,huko utapata majibu ya maswali yako....na kutokana na kauli zako hapo juu,,endapo utamkuta alikuwa na mimba basi nina imani kuwa unajua nini cha kufanya kama Mwanaume..

Be a Man..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom