Nitamtambuaje mwanamke aliyetoka kutoa mimba?

Nitamtambuaje mwanamke aliyetoka kutoa mimba?

Nilikuwa mbali na familia yangu miezi tisa, zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza safari nikawa nimempa taarifa mke wangu kwamba siku fulani nitakuwa nyumbani. Niligundua hiyo taarifa haikumfurahisha kwani hakuipokea kwa bashasha. Stori isiwe ndefu, nilifika nyumbani tarehe 18 mwezi huu, kilichonifanya nianzishe uzi huu hapa ni hiki.

Nimemkuta akiwa anablidi na akilalamika maumivu makali sana ya tumbo. Nahisi alikuwa ana mimba sasa kaamua kuichomoa. Napenda nijiridhishe kitaalam kama inawezekana, ndiyo maana nimekuja kwenu ili mnipe elimu kama kuna vipimo vya kisasa au njia nyingine mbadala ya kumtambua mwanamke aliyetoa mimba.

Asanteni.
Mimi mke wangu nikigundua sicheleweshi kwanza Kuna ngoma nzuri zipo tuu kila siku zinazaliwa
Nilikuwa mbali na familia yangu miezi tisa, zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza safari nikawa nimempa taarifa mke wangu kwamba siku fulani nitakuwa nyumbani. Niligundua hiyo taarifa haikumfurahisha kwani hakuipokea kwa bashasha. Stori isiwe ndefu, nilifika nyumbani tarehe 18 mwezi huu, kilichonifanya nianzishe uzi huu hapa ni hiki.

Nimemkuta akiwa anablidi na akilalamika maumivu makali sana ya tumbo. Nahisi alikuwa ana mimba sasa kaamua kuichomoa. Napenda nijiridhishe kitaalam kama inawezekana, ndiyo maana nimekuja kwenu ili mnipe elimu kama kuna vipimo vya kisasa au njia nyingine mbadala ya kumtambua mwanamke aliyetoa mimba.

Asanteni.
Nenda nunua kipimo mpime
 
Msubiri akimaliza bleed nunua kifaa cha kupimia mimba mpime. Kama alikua na mimba akatoa itaonekana bado ipo maana zile homoni za mimba zinaendelea kuwepo kwa wiki kadhaa baada ya kutoa mimba. Mbona rahisi sana kumkamata huyo. Pia kwa haraka haraka mwambie akitoa pedi iliyojaa damu uiangalie kama ina mabonge au dark brown basi ameshusha injini
 
Msubiri akimaliza bleed nunua kifaa cha kupimia mimba mpime. Kama alikua na mimba akatoa itaonekana bado ipo maana zile homoni za mimba zinaendelea kuwepo kwa wiki kadhaa baada ya kutoa mimba. Mbona rahisi sana kumkamata huyo. Pia kwa haraka haraka mwambie akitoa pedi iliyojaa damu uiangalie kama ina mabonge au dark brown basi ameshusha injini
Hapo inategemea kuna wengine akishaanza kubleed tu akipima inakuwa negative.
 
Wewe endelea na mke wako. Angetoa mimba hayo maumivu yanakuwaga kwa masaa mawili matatu wakati vitu vinasukumwa nje. Baada ya hapo anakuwa kawaida kama kwenye bleed.

Mke wako atakuwa hajatoa mimba ila anadeka au ana maambukizi kwenye mlango wa kizazi.
 
Msubiri akimaliza bleed nunua kifaa cha kupimia mimba mpime. Kama alikua na mimba akatoa itaonekana bado ipo maana zile homoni za mimba zinaendelea kuwepo kwa wiki kadhaa baada ya kutoa mimba. Mbona rahisi sana kumkamata huyo. Pia kwa haraka haraka mwambie akitoa pedi iliyojaa damu uiangalie kama ina mabonge au dark brown basi ameshusha injini
Nimekupata mkuu
 
Nilikuwa mbali na familia yangu miezi tisa, zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza safari nikawa nimempa taarifa mke wangu kwamba siku fulani nitakuwa nyumbani. Niligundua hiyo taarifa haikumfurahisha kwani hakuipokea kwa bashasha. Stori isiwe ndefu, nilifika nyumbani tarehe 18 mwezi huu, kilichonifanya nianzishe uzi huu hapa ni hiki.

Nimemkuta akiwa anablidi na akilalamika maumivu makali sana ya tumbo. Nahisi alikuwa ana mimba sasa kaamua kuichomoa. Napenda nijiridhishe kitaalam kama inawezekana, ndiyo maana nimekuja kwenu ili mnipe elimu kama kuna vipimo vya kisasa au njia nyingine mbadala ya kumtambua mwanamke aliyetoa mimba.

Asanteni.
Sasa mkuu si umpeleke hospitalini

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa mbali na familia yangu miezi tisa, zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza safari nikawa nimempa taarifa mke wangu kwamba siku fulani nitakuwa nyumbani. Niligundua hiyo taarifa haikumfurahisha kwani hakuipokea kwa bashasha. Stori isiwe ndefu, nilifika nyumbani tarehe 18 mwezi huu, kilichonifanya nianzishe uzi huu hapa ni hiki.

Nimemkuta akiwa anablidi na akilalamika maumivu makali sana ya tumbo. Nahisi alikuwa ana mimba sasa kaamua kuichomoa. Napenda nijiridhishe kitaalam kama inawezekana, ndiyo maana nimekuja kwenu ili mnipe elimu kama kuna vipimo vya kisasa au njia nyingine mbadala ya kumtambua mwanamke aliyetoa mimba.

Asanteni.
Mfanyie kipimo cha mkojo tu kitaonesha.

Ila Sasa hata ukijua sijui itakusaidia vipi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom