Huchukua muda gani kurudi katika hali yake ya kawaida?Kama katoa mimba muda si mrefu kipimo cha mimba kitaonesha " false positive" kwasababu hormone levels zitaonesha bado yu mjamzito huchukua muda kurudi katika hali zake za kawaida.
Mimi mke wangu nikigundua sicheleweshi kwanza Kuna ngoma nzuri zipo tuu kila siku zinazaliwaNilikuwa mbali na familia yangu miezi tisa, zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza safari nikawa nimempa taarifa mke wangu kwamba siku fulani nitakuwa nyumbani. Niligundua hiyo taarifa haikumfurahisha kwani hakuipokea kwa bashasha. Stori isiwe ndefu, nilifika nyumbani tarehe 18 mwezi huu, kilichonifanya nianzishe uzi huu hapa ni hiki.
Nimemkuta akiwa anablidi na akilalamika maumivu makali sana ya tumbo. Nahisi alikuwa ana mimba sasa kaamua kuichomoa. Napenda nijiridhishe kitaalam kama inawezekana, ndiyo maana nimekuja kwenu ili mnipe elimu kama kuna vipimo vya kisasa au njia nyingine mbadala ya kumtambua mwanamke aliyetoa mimba.
Asanteni.
Nenda nunua kipimo mpimeNilikuwa mbali na familia yangu miezi tisa, zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza safari nikawa nimempa taarifa mke wangu kwamba siku fulani nitakuwa nyumbani. Niligundua hiyo taarifa haikumfurahisha kwani hakuipokea kwa bashasha. Stori isiwe ndefu, nilifika nyumbani tarehe 18 mwezi huu, kilichonifanya nianzishe uzi huu hapa ni hiki.
Nimemkuta akiwa anablidi na akilalamika maumivu makali sana ya tumbo. Nahisi alikuwa ana mimba sasa kaamua kuichomoa. Napenda nijiridhishe kitaalam kama inawezekana, ndiyo maana nimekuja kwenu ili mnipe elimu kama kuna vipimo vya kisasa au njia nyingine mbadala ya kumtambua mwanamke aliyetoa mimba.
Asanteni.
Kwahiyo amvua pedi awe anaangalia ana bleed nini?Kama anableed damu mabonge mabonge jua kashusha injin huyo
Hapo inategemea kuna wengine akishaanza kubleed tu akipima inakuwa negative.Msubiri akimaliza bleed nunua kifaa cha kupimia mimba mpime. Kama alikua na mimba akatoa itaonekana bado ipo maana zile homoni za mimba zinaendelea kuwepo kwa wiki kadhaa baada ya kutoa mimba. Mbona rahisi sana kumkamata huyo. Pia kwa haraka haraka mwambie akitoa pedi iliyojaa damu uiangalie kama ina mabonge au dark brown basi ameshusha injini
Nimekupata mkuuMsubiri akimaliza bleed nunua kifaa cha kupimia mimba mpime. Kama alikua na mimba akatoa itaonekana bado ipo maana zile homoni za mimba zinaendelea kuwepo kwa wiki kadhaa baada ya kutoa mimba. Mbona rahisi sana kumkamata huyo. Pia kwa haraka haraka mwambie akitoa pedi iliyojaa damu uiangalie kama ina mabonge au dark brown basi ameshusha injini
Sasa mkuu si umpeleke hospitaliniNilikuwa mbali na familia yangu miezi tisa, zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza safari nikawa nimempa taarifa mke wangu kwamba siku fulani nitakuwa nyumbani. Niligundua hiyo taarifa haikumfurahisha kwani hakuipokea kwa bashasha. Stori isiwe ndefu, nilifika nyumbani tarehe 18 mwezi huu, kilichonifanya nianzishe uzi huu hapa ni hiki.
Nimemkuta akiwa anablidi na akilalamika maumivu makali sana ya tumbo. Nahisi alikuwa ana mimba sasa kaamua kuichomoa. Napenda nijiridhishe kitaalam kama inawezekana, ndiyo maana nimekuja kwenu ili mnipe elimu kama kuna vipimo vya kisasa au njia nyingine mbadala ya kumtambua mwanamke aliyetoa mimba.
Asanteni.
Mfanyie kipimo cha mkojo tu kitaonesha.Nilikuwa mbali na familia yangu miezi tisa, zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza safari nikawa nimempa taarifa mke wangu kwamba siku fulani nitakuwa nyumbani. Niligundua hiyo taarifa haikumfurahisha kwani hakuipokea kwa bashasha. Stori isiwe ndefu, nilifika nyumbani tarehe 18 mwezi huu, kilichonifanya nianzishe uzi huu hapa ni hiki.
Nimemkuta akiwa anablidi na akilalamika maumivu makali sana ya tumbo. Nahisi alikuwa ana mimba sasa kaamua kuichomoa. Napenda nijiridhishe kitaalam kama inawezekana, ndiyo maana nimekuja kwenu ili mnipe elimu kama kuna vipimo vya kisasa au njia nyingine mbadala ya kumtambua mwanamke aliyetoa mimba.
Asanteni.