Jan-uary
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 1,050
- 1,144
- Thread starter
- #81
Alikuwa nayo kweli Mkuu, mwenye mimba ni mzanzi mwenzie kazaa naye mtoto mmoja mimi nimezaa naye wawili.Kauli hio inaashiria UBINGWA,,,,imekaa Kishujaa sana....
PELEKA MKEO HOSPITAL,,,huko utapata majibu ya maswali yako....na kutokana na kauli zako hapo juu,,endapo utamkuta alikuwa na mimba basi nina imani kuwa unajua nini cha kufanya kama Mwanaume..
Be a Man..
