PreGE2025 Nitampigia kura Rais Samia

PreGE2025 Nitampigia kura Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Ni utaahira mkubwa sana kupoteza muda kwenda kupiga kura wakati INEC tayari ina maagizo ya kuwatangaza wagombea wote wa CCM kushinda kwa 99%. Ni wapumbavu tu wataenda kupiga kura.
 
Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Ni haki yako ya kikatiba itumie na hakuna wa kukuuliza, kama ambavyo mimi kwa mwaka huu sikusudii kabisa kupoteza muda wangu kwenda kupanga foleni eti napiga kura ambayo wala haihesabiwi wala kuheshimiwa. Kwenye uchaguzi wa mwaka huu, nikiwa hai na akili yangu timamu kwa jinsi mambo yalivyo mimi ni sawa na Prof. Assad (CAG mstaafu).

Kupanga ni kuchagua
 
Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Tanzania hakuna uchaguzi kuna usanii tu ,uchaguzi ulikuwq ngazi za vitongoji nako usanii umepafikia
 
Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Sawa lakini ungeenda kuuliza kwanza gharama za kufanya dialysis pale muhimbili.
Je walalahoi wanaweza kulipa?
 
Back
Top Bottom