SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
- Thread starter
- #41
CCM oyee
Naisubiri Oktoba kwa hamuKura zote kwa Mama Dr
Kura ni kwa Dr SamiaNi haki yako,ila haki ya wengine iheshimiwe
Let me inform you ! There will be no election until!Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Aisee! Umesema ukweli sana! Eti Dr?Ana udokta gani kwanza? medical doctor?
Na yangu huko huko. We cannot let our country go to the dogs!Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Ccm ni majizi, bora kulala home kuliko kupanga foleni kuchomwa na jua eti kumpigia kura mgombea wao yeyote (hata huyo mamako) kura (kula)!!.Piga Kura kwa Mgombea wa CCM tu.
Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Soma sahihi yangu sahihiOktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM.