PreGE2025 Nitampigia kura Rais Samia

PreGE2025 Nitampigia kura Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Ni utaahira mkubwa sana kwenda kupiga kura kwa uchaguzi ambao tayari matokeo yameshaandaliwa bado kutangazwa tu.
 
Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Ili amalize kuuza rasilimali za nchi na atumbukize nchi shimoni safii sana nenda katiki 😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣
 
Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Elewa kura yako haitakuwa na thamani yoyote ile.

No reforms No election
 
Ahsante mama...

WhatsApp Image 2025-07-23 at 01.44.03.jpeg
 
Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Uandishi kama huu unaondoa weledi wa Jukwaa hili. Tafuta maneno mengi yenye ushahidi useme Kwa nini unampgia Kura..
Only two sentences & one paragraph are enough to cement your topic ?
Really, big no.
 
Uandishi kama huu unaondoa weledi wa Jukwaa hili. Tafuta maneno mengi yenye ushahidi useme Kwa nini unampgia Kura..
Only two sentences & one paragraph are enough to cement your topic ?
Really, big no.
Umerudia kosa unalonituhumu. Hujaainisha kwa nini Mimi nisimpigie Kura Mheshimiwa Dr Rais Samia, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Mwenyekiti wa Chama Tawala nchini Tanzania.

1. Amefanya mengi ya kujivunia Leo hii watoto wa kike wanaenda shule bila kikwazo.

2. Amejenga miundo mbinu. Amefungua fursa za kibiashara Duniani.

3.Amefuta riba onevu kwenye urejeshaji wa mikopo ya Elimu ya juu.
 
Waste of time hata usipoenda kupiga kura tayari kura ipo kwenye box la KULA!
 
Back
Top Bottom