PreGE2025 Nitampigia kura Rais Samia

PreGE2025 Nitampigia kura Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Nilifikiri utampigia Sultani Makenga au M23 siku hizi inaongozwa na Mama?!
 
Huo uchaguzi kama upo utakuwa wa CCM na tume yao ya uchaguzi, sisi wananchi tunaojielewa hatuna muda huo.
No reform no election.
 
Huo uchaguzi kama upo utakuwa wa CCM na tume yao ya uchaguzi, sisi wananchi tunaojielewa hatuna muda huo.
No reform no election.
Wewe na wananchi gani? Usitujumlishe wote. Mimi naenda kupiga kura. Wakijitoa Chadema sio shida zetu.
 
Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Mimi nitampigia Dr. Samia kura yangu...lkn kuhusu hao wagombea wengine wa ubunge kama wajumbe watawapitisha kwa figisu na rushwa sitawapigia kura yangu. Kwa hakika mama Samia nitampigia kura
 
Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Kama wewe ni Mtanganyika utakuwa na mtindio wa ubongo.

Unawezaje kumchagua kiongozi ambaye wewe huwezi kwenda kwao ukapata fursa ya kununua ardhi.

Huwezi kuajiriwa na taasisi za umma Zanzibar.

Huwezi kipiga kura Zanzibar.

Mtanganyika akiwa Zanzibar hadhi yake ni sawa na Mkenya au Mganda.

Kwa lugha rahisi unaweza kumchagua Ruto awe Rais wa JMT.

Hizi shule mlizo kwenda kujifunza upuuzi.
 
Back
Top Bottom