Nitampata wapi wakuniridhisha kimapenzi?

Nitampata wapi wakuniridhisha kimapenzi?

innocentmollel

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2014
Posts
1,702
Reaction score
750
Habari wakubwa pia na wadogo,

Japo sanaa huakika kama kuna wadogo humu namimi mpo poa sana.Tatizo langu wakuu ni kuwa sijawahi kukutana na mwanamke wa kunidhisha namimi nikajisikia kuwa nimefanya mapenzi nikaridhika.

Katika harakati za kupita pita nimeshakuwa na wadada watatu yani huyu niliye naye sasa ndiye watatu nimekuwa nikifanya naye mapenzi lakini haniridhishi lakini mimi namridhisha na pia nilioachana nao ndio hivyo hivyo walikuwa hawaniridhishi.

Huyu wa sasa ndio kabisa yani mimi nikiwa sijamwaga hata bao la kwanza yeye hoi haitajii hata ni mguse tena na hapo unakuta atujakurupuka unakuta tumeshikana shikana mpaka mwenzangu kalowa sehemu husika na yupo tayari ku sex.

Sasa wakuu sijui tatizo lipo wapii au kisaa nafanya mazoezi sana na kula vitu vya kutia mwili nguvu mpaka nakuwa na nguvu kiasii hichi, ukweli wakuu sihitaji kumsaliti mwenzangu coz nampenda sana na yeye namwambiaga ukweli kuwa aniridhishi na anasema nisijali. Ipo siku nitaridhika na sasa tupo naye mwaka lakini ndio hivyo wakubwa zangu.

Naombeni mnishauri chochote ilii nimwelekeze huyu mpenzi wangu afanye penginepo aweze kuniridhiisha.

Asante wakuu





Ushauri n boraa kuliko matuc na kebehii
 
Kaka isitoshe ulikuwa unapiga punyeto mno apo mwanzo..! Ndomana hiyo hali! Watu wa hivyo ndo huwa hawafiki kileleni faster! I can't believe Kama wote hao hawajakuridhisha ! Ila Kama hujawahi fanya kwa dettle na uko ivo, seek medical help...
 
Kama unafanya mapenzi in the same way kama unavyoandika na kupangilia points, hutakaa uridhike kamwe..ooh sorry...hutakaa "urizike" kamwe!!!
 
ni kawaida sn kwa umri mdogo subiri ukue na kukomaa ndio utafahamu vema MTAPISHANA wakati wewe sasa unaridhika kbs yeye bibie ndo atakuwa anahitaji zaidi especially mke wa umri kuanzia 35 +
 
Kaka isitoshe ulikuwa unapiga punyeto mno apo mwanzo..! Ndomana hiyo hali! Watu wa hivyo ndo huwa hawafiki kileleni faster! I can't believe Kama wote hao hawajakuridhisha ! Ila Kama hujawahi fanya kwa dettle na uko ivo, seek medical help...

Kaka nyeto hapana cjawahi pigaa kabisa alafu swala LA medical nilishawahi kumwambia doct mmoja HV yy ananiambiaga etiii ndioo urijali huo
 
ni kawaida sn kwa umri mdogo subiri ukue na kukomaa ndio utafahamu vema MTAPISHANA wakati wewe sasa unaridhika kbs yeye bibie ndo atakuwa anahitaji zaidi especially mke wa umri kuanzia 35 +

Unagongwa
 
ni kawaida sn kwa umri mdogo subiri ukue na kukomaa ndio utafahamu vema MTAPISHANA wakati wewe sasa unaridhika kbs yeye bibie ndo atakuwa anahitaji zaidi especially mke wa umri kuanzia 35 +


Daaa sidhan lkn mkuu ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom