Nitampata wapi wakuniridhisha kimapenzi?

Nitampata wapi wakuniridhisha kimapenzi?

Kumpata wa kukuridhisha ni lazima ucheat, kwahiyo usiseme Kuwa hutak kucheat......
 
Imagine upo na Mtu wa uhakika, kila ukimtaka anakuja every night , ina maana Kila siku utapiga goli 5????, haiwezekan , ww nadhan ni kijana mdogo wa 20 years hiv , kupata Msichana ni shida kwako, kwasababu Huna hela , na ukizikusanya ni miez , na unakuta na nye.e pia umezikusanya, so kutoa hizo 5 ni uchu na wala sio nguvu Za kiume.......
 
Na pia unakutana na watoto wenzako , watawezaje league Ya mwenye uchu 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
 
Una miaka mingap? , innocentmollel. Kwasababu tatizo linaanzia hapo, Kuwa na wasichana watatu tu sio ndio unadhan hakuna msichana asiekuridhisha, sample space ni ndogo sana, ...tafuta wanawake 20 then uje utupe feedback

Duuuuu kaka 20 wote wa nn sasa kaaaaaa aisee siwezi Mimi km mm n wengi Sana'a pia a kunaa magonjwaa kaka na kumsaliti mpenzi wanguu kiukwel siwezii
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo hao ulionao unafanya nao kavu?????
 
Imagine upo na Mtu wa uhakika, kila ukimtaka anakuja every night , ina maana Kila siku utapiga goli 5????, haiwezekan , ww nadhan ni kijana mdogo wa 20 years hiv , kupata Msichana ni shida kwako, kwasababu Huna hela , na ukizikusanya ni miez , na unakuta na nye.e pia umezikusanya, so kutoa hizo 5 ni uchu na wala sio nguvu Za kiume.......

Kaka naomba nitakee radhi kitu cha kwanza pleas mm Nina miaka 24 na Nina maisha yangu tena mazuri c mtoto km unavyodai ww ndugu .na mpnz wangu pia a nayee c mtoto n MTU anayejitambuaa hvyoo sipoo km unavyofikiriaa
 
Nunua bamia upate ule utelezi utakusaidia
 
Ondoa stress za kuridhishwa kuwa km unamiaka kumi wakati mnaingia chumban ondoa mawazo yote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom