Nitakuwa nakosea?

Ndug wameingia vp ktk huu uzi. Jitathimin vzr kisha jenga hoja..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa kubwa ulilifanya pale ulipoamini uwezo wa mali na fedha ndio msingi wa mapenzi yenu, mara nyingi naona wanawake ndo wanawaacha wanaume kisa financial problem hii ya kwako ni kiwanda kingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…