Nitajuaje kama mpenzi wangu amefika kileleni (orgasm)?

Nitajuaje kama mpenzi wangu amefika kileleni (orgasm)?

Ni vizuri kumuuliza muhusika mkiwa katika tendo! kama mmeweza kuvuana nguo sidhani kama kuulizana hili swali mtaoneana aibu

Atamwulizaje wakati akimwuliza anaweza kumdanganya....na hivyo kumpofua moja kwa zote kwa mapigo ya uongo na ukweli tu.........anatakiwa ajue vipimo husika kwa usiri mkubwa na kazi ni kugusa vibonyezo vya kumfikisha mwenzie atakapo kwenda.................au kufika.......
 
Na hii nayo nimeiona..:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
eehh we nawe!!!!!!!!
dig dig wakale wap sasa?
ebu kuwa huruma na viumbe vidogo dogo bwna.......bila ivi vi dg dg msitu aujakamilika remember so acha tuwalishe waendelee kuwepo!!!!!
 
:tape::tape::tape::tape::tape:
 
eehh we nawe!!!!!!!!
dig dig wakale wap sasa?
ebu kuwa huruma na viumbe vidogo dogo bwna.......bila ivi vi dg dg msitu aujakamilika remember so acha tuwalishe waendelee kuwepo!!!!!

Kumbuka nafanya tracking hadi ya simu zako...very soon kuna mtu ata:rip:
 
Jamani wanaJF mwenzenu nimeulizwa swali kuwa atajuaje kama mpenzi wake amefika kileleni (orgasm)? na afanye nini ili mpenzi wake afike? ...

Ukisikia anajamba jamba ovyo ovyo ujue hapo tayari mziki umekolea na umefika kunako
 
Habar zenu banaaaa

Hii habari ya kufika au kutofika kileleni bana inategemea na mambo mengi

Asilimia zaidi ya 70 ya wanawake hawajawahi kufika na wala hawajui hicho ni kitu gani

lakini pia kwa mwanaume unaweza kumtune/kumtrain mwanamke ambaye 'amekuwa sugu' kutofika kileleni kutokana na mawazo potofu na akafika kama kawaida..wengi huwa hawajui umuhimu wa kuorgasm

jengine, hata orgasm yenyewe hutofautiana intensity kutegemea ni ya wapi na the 'build up' to that...ndo maana huwa inashauriwa kuwe na thorough foreplay ili kujenga mazingira

Nikija kwenye ile kuwa utajuaje.....well hii inategemea sana na UZOEFU wwenu wawili....mwanaume hawezi KUFEKI (tulishalijadili hili) lakini mwanamke anaweza kufake kama mwanaume sio mzoefu, ila kwa wazoefu kama members wa ISC huwezi kuwadanganya.....not least the chairman. Kinatokea nini hasa ndo kama alivosema mlimbwende Rose80....na niseme tu kwamba kama mwanamke kafika KWELI ni lazima ujue....halifichiki jembe la ng'ombe....

Orait

Sasa hili bandiko lako lingekuwa na uzito zaidi endapo ungeambatanisha na ithibati za kitakwimu na vyanzo vya ufahamu wako iwe utafiti binafsi ulioufanya au usomaji wa majarida, tafiti, na maandiko ya wengine. Ni hayo machache tu.

Wako katika ujenzi wa taifa, NN aka Mzee wa Byuroo
 
Ukisikia anajamba jamba ovyo ovyo ujue hapo tayari mziki umekolea na umefika kunako

hivi utawaacha lini hoa wa mazense na kariakoo? kila ukitafutwa huonekani....hommie vp bana wewe?
 
Sasa hili bandiko lako lingekuwa na uzito zaidi endapo ungeambatanisha na ithibati za kitakwimu na vyanzo vya ufahamu wako iwe utafiti binafsi ulioufanya au usomaji wa majarida, tafiti, na maandiko ya wengine. Ni hayo machache tu.

Wako katika ujenzi wa taifa, NN aka Mzee wa Byuroo

hahahahah NN bana.....hapa watu wanaogopa journals and the like.,......muulize mwalimu Gaijin na Baba Gift a.k.a
 
Back
Top Bottom