Nitajuaje kama mpenzi wangu amefika kileleni (orgasm)?

hahha mama bg nambie shost?salama?
unaweza kujua ..kwa mwanaume utaona anakukumbatia mbaaambambamba basi apo ujue yupo klmanjaro
-wengne macho yao yanageuka km anadegedege vle+anapiga makelele
-wengne wanazimia kabsa-
-wengne wanasema nimefika....
KWA MWANAMKE;
Anakuwa yupo fit tu ..nguvu km za matumla znamjia akifika kileleni(hapigi kelele waloa halegei sana)


Na kinyume cha haya uliyosema pia ni sahihi
 
changu changu cheni changu......ngoja nikae kimya maana hachelewi kusema kategwa huyu Asprin..:tape:
hahahahahaaa! Asprin bingwa wa kusingizia wenzake kuwa ni Makabaila kumbe yeye ndo settler kabisa!
 
Habar zenu banaaaa

Hii habari ya kufika au kutofika kileleni bana inategemea na mambo mengi

Asilimia zaidi ya 70 ya wanawake hawajawahi kufika na wala hawajui hicho ni kitu gani

lakini pia kwa mwanaume unaweza kumtune/kumtrain mwanamke ambaye 'amekuwa sugu' kutofika kileleni kutokana na mawazo potofu na akafika kama kawaida..wengi huwa hawajui umuhimu wa kuorgasm

jengine, hata orgasm yenyewe hutofautiana intensity kutegemea ni ya wapi na the 'build up' to that...ndo maana huwa inashauriwa kuwe na thorough foreplay ili kujenga mazingira

Nikija kwenye ile kuwa utajuaje.....well hii inategemea sana na UZOEFU wwenu wawili....mwanaume hawezi KUFEKI (tulishalijadili hili) lakini mwanamke anaweza kufake kama mwanaume sio mzoefu, ila kwa wazoefu kama members wa ISC huwezi kuwadanganya.....not least the chairman. Kinatokea nini hasa ndo kama alivosema mlimbwende Rose80....na niseme tu kwamba kama mwanamke kafika KWELI ni lazima ujue....halifichiki jembe la ng'ombe....

Orait
 
heheeeeeeeeeeeee heeeeeeeeeeee halooooo halooooooo bigrita upo?
mweee yan aka kadig dig kamekupiku namna i?et wanajuana wenyewe wakifiaka kilelen wanakuwaje?
ahh bgrita unakubali kadhia hii??mmh pole
TEAMO NAJUA AKIFIKA KILELEN MDOMO ANAACHA WAZI KM SAMAK ALIYEKUFA KWA KUKOSA MAJI
roy akifika analia km mtoto anaogopa kuchomwa sindano
bgrita akifika kilelen anapiga miruzi kwa fujo yan km ametoka pale kichakan alipopak gari wakat anaenda rombo ili afanye kazindiko kidogo........:smile-big:!!!!!!
utasababisha roya anichukie maisha
 
Mwambieni mama big babu ameteguka kiuno, anahitaji kutumia mkongojo. Msaada tutani eti.

POSTED VIA MOBILE


Hommie umevunja katiba yetu kwa kulala gest?:nono::nono::nono:

Bado Baba Gift naye......
 
wakuu mko deep sana, asanteni kwa ushauri ngoja nikajaribu kwa kipotable changu now
 
Habar zenu banaaaa

Hii habari ya kufika au kutofika kileleni bana inategemea na mambo mengi

Asilimia zaidi ya 70 ya wanawake hawajawahi kufika na wala hawajui hicho ni kitu gani

lakini pia kwa mwanaume unaweza kumtune/kumtrain mwanamke ambaye 'amekuwa sugu' kutofika kileleni kutokana na mawazo potofu na akafika kama kawaida..wengi huwa hawajui umuhimu wa kuorgasm

jengine, hata orgasm yenyewe hutofautiana intensity kutegemea ni ya wapi na the 'build up' to that...ndo maana huwa inashauriwa kuwe na thorough foreplay ili kujenga mazingira

Nikija kwenye ile kuwa utajuaje.....well hii inategemea sana na UZOEFU wwenu wawili....mwanaume hawezi KUFEKI (tulishalijadili hili) lakini mwanamke anaweza kufake kama mwanaume sio mzoefu, ila kwa wazoefu kama members wa ISC huwezi kuwadanganya.....not least the chairman. Kinatokea nini hasa ndo kama alivosema mlimbwende Rose80....na niseme tu kwamba kama mwanamke kafika KWELI ni lazima ujue....halifichiki jembe la ng'ombe....

Orait
Hahahahaaa! naona umechukua lile daftari la baolojia form IIC, then uka-do the needful kwa wapwaz wasiojua kama wenzi wao wamefika kileleni au no kufika.
 
Habar zenu banaaaa

Hii habari ya kufika au kutofika kileleni bana inategemea na mambo mengi

Asilimia zaidi ya 70 ya wanawake hawajawahi kufika na wala hawajui hicho ni kitu gani

lakini pia kwa mwanaume unaweza kumtune/kumtrain mwanamke ambaye 'amekuwa sugu' kutofika kileleni kutokana na mawazo potofu na akafika kama kawaida..wengi huwa hawajui umuhimu wa kuorgasm

jengine, hata orgasm yenyewe hutofautiana intensity kutegemea ni ya wapi na the 'build up' to that...ndo maana huwa inashauriwa kuwe na thorough foreplay ili kujenga mazingira

Nikija kwenye ile kuwa utajuaje.....well hii inategemea sana na UZOEFU wwenu wawili....mwanaume hawezi KUFEKI (tulishalijadili hili) lakini mwanamke anaweza kufake kama mwanaume sio mzoefu, ila kwa wazoefu kama members wa ISC huwezi kuwadanganya.....not least the chairman. Kinatokea nini hasa ndo kama alivosema mlimbwende Rose80....na niseme tu kwamba kama mwanamke kafika KWELI ni lazima ujue....halifichiki jembe la ng'ombe....

Orait
Thus why wewe ni Mwenyekiti.....
 
Habar zenu banaaaa

Hii habari ya kufika au kutofika kileleni bana inategemea na mambo mengi

Asilimia zaidi ya 70 ya wanawake hawajawahi kufika na wala hawajui hicho ni kitu gani

lakini pia kwa mwanaume unaweza kumtune/kumtrain mwanamke ambaye 'amekuwa sugu' kutofika kileleni kutokana na mawazo potofu na akafika kama kawaida..wengi huwa hawajui umuhimu wa kuorgasm

jengine, hata orgasm yenyewe hutofautiana intensity kutegemea ni ya wapi na the 'build up' to that...ndo maana huwa inashauriwa kuwe na thorough foreplay ili kujenga mazingira

Nikija kwenye ile kuwa utajuaje.....well hii inategemea sana na UZOEFU wwenu wawili....mwanaume hawezi KUFEKI (tulishalijadili hili) lakini mwanamke anaweza kufake kama mwanaume sio mzoefu, ila kwa wazoefu kama members wa ISC huwezi kuwadanganya.....not least the chairman. Kinatokea nini hasa ndo kama alivosema mlimbwende Rose80....na niseme tu kwamba kama mwanamke kafika KWELI ni lazima ujue....halifichiki jembe la ng'ombe....

Orait

Saluti mwenyekiti
 
hiyo pia sawa ,ila unatakiwa uwe na utaalam wa kung'amua.
nijuavyo mimi people differ na hata wanvyo express feeling na ku respond kwa mambo kadha wa kadha kuna differ pia.

Kwa uzoefu wangu mie wengi huongeza munkari na kisha kupoa basi nionapo hivyo hujua kidume nimefanya kazi kwa mudili wa apendavyo.
Kuna mmoja alikuwa akifikia hatua hiyo humingata duh haya mambo bwana ...
Kuna mwingine alikuwa akishafika kilele nilikuwa naogopa nadhani nimeua maana alikuwa baada ya kupandisha munkari fujo zote kunibana n.k kisha anazima na kulala ..ktk hiki kitendo nimeshuhudi mengi acha liitwe tendo la siri maana balaa tupu...
Ila licha ya yote kuna wengine show no tells hawaonyeshi vema ,huwezi jua, kama alivyosema Maria Roza niliuliza kwa binti moja mara nyingi anizo muuliza alisema kafika kileleni mwanzoni nilijua ananifariji nijione kidume ila cha kushangaza ni kuwa alikuwa anapenda haka kamchezo ukiniuliza alikuwa anafiak kilele ntasema ndio kwa mjibu wa maneno yake ,ingawa sikupenda maana nipenda yule nayeweza jua ..athough I can figure out the fake one .

Sasa niko kifungoni no more exploring


mkuu sasa zile style zetu wengine za doggy style utajuaje manake hata sura hamuonani
 
Mwanadada akifika kule kunako kwanza kabisa miguu inatetemeka...halafu anatoa mguno/muungurumo usio kawaida...kama simba vile!:tape:
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom