Nitajuaje kama mpenzi wangu amefika kileleni (orgasm)?

hahhaahah kuwa mjasiri km roy
et dig dig wapo kwa kukamilisha pori lakin awana madhara yeyote....
dig dig ni dig dg hana madhara wewe ni simba thats ol!!!!

Hii statement itakuja kuwatokea puani wee waache tu
 
umbali wa safari uta-determine wingi wa vichaka. kama unaenda Bukoba, basi ujue rule ni after every 350km...........unaanza kuangalia kushoto na kulia, then chap! chap!

hahha hahaha i hatari
sasa nyoka akiingia uko itakuwaje?
wakat mnafanya kinasa unakuwa umekitundika kwenye mti au unakivulia uko uko kwenye gar?
au unakikobeka kichwan km kilemba.......hahah nataman ningekuona bgrita wakat unazndka kichaka !!!!!!
 
hahhaahah kuwa mjasiri km roy
et dig dig wapo kwa kukamilisha pori lakin awana madhara yeyote....
dig dig ni dig dg hana madhara wewe ni simba thats ol!!!!
eeewaaaa! yani hawa:llama::llama::llama:wanakamilisha ekosistim tu.
 
unataka kusema nini kuhusu experience yako kwa ufupi? hahahahahaaa!!
Develop hii list, then tutafanya kalkulesheni kuestimate idadi na possible occurrence.

hapana
misjawai kufanya u mchezo so sjui inakuwaje
nikijaribu siku moja i wl let u knw no pbm stay tuned...............!!!!!!!
 
hahha mama bg nambie shost?salama?
unaweza kujua ..kwa mwanaume utaona anakukumbatia mbaaambambamba basi apo ujue yupo klmanjaro
-wengne macho yao yanageuka km anadegedege vle+anapiga makelele
-wengne wanazimia kabsa-
-wengne wanasema nimefika....
KWA MWANAMKE;
Anakuwa yupo fit tu ..nguvu km za matumla znamjia akifika kileleni(hapigi kelele waloa halegei sana)

Natamani nikufikishe kama mara 3 hv
 
hahha mama bg nambie shost?salama?
unaweza kujua ..kwa mwanaume utaona anakukumbatia mbaaambambamba basi apo ujue yupo klmanjaro
-wengne macho yao yanageuka km anadegedege vle+anapiga makelele
-wengne wanazimia kabsa-
-wengne wanasema nimefika....
KWA MWANAMKE;
Anakuwa yupo fit tu ..nguvu km za matumla znamjia akifika kileleni(hapigi kelele waloa halegei sana)
Inaonekana wewe ni mtaalam wa haya mambo.
 
pakamweusi akifika kileleni anainua mkia wake juuu na kilio cha nyauu nyauuuuuuuuuu kwa fujo yan dzain inabd ufungulie radio mpk mwsho bila ivo unaweza ambia umebaka mtoto!!!!


Nimekubali bila ubishi wewe ni mwisho na sirudii tena.
 
Ni vizuri kumuuliza muhusika mkiwa katika tendo! kama mmeweza kuvuana nguo sidhani kama kuulizana hili swali mtaoneana aibu

Maria hata hao wanawake wenyewe hawajui wakifika kileleni ndio nini? Hawajawahi kufikishwa ukimuuliza hawezi kukujibu
 
hahha hahaha i hatari
sasa nyoka akiingia uko itakuwaje?
wakat mnafanya kinasa unakuwa umekitundika kwenye mti au unakivulia uko uko kwenye gar?
au unakikobeka kichwan km kilemba.......hahah nataman ningekuona bgrita wakat unazndka kichaka !!!!!!
leo sijui nina nini, ninasoma kila kitu katikati ya herufi.
Haya hebu weka wazi zaidi ili hata vidigi digi vielewe........
.... unatamani kuniona?! unataka kuwa muangaliaji au mshuhudiaji? Au wewe ndo uwe kwenye :car: then :love::love::rolleyes::rolleyes::sleepy::sleepy: then:car::car:
 
heheeeeeeeeeeeee heeeeeeeeeeee halooooo halooooooo bigrita upo?
mweee yan aka kadig dig kamekupiku namna i?et wanajuana wenyewe wakifiaka kilelen wanakuwaje?
ahh bgrita unakubali kadhia hii??mmh pole
TEAMO NAJUA AKIFIKA KILELEN MDOMO ANAACHA WAZI KM SAMAK ALIYEKUFA KWA KUKOSA MAJI
roy akifika analia km mtoto anaogopa kuchomwa sindano
bgrita akifika kilelen anapiga miruzi kwa fujo yan km ametoka pale kichakan alipopak gari wakat anaenda rombo ili afanye kazindiko kidogo........:smile-big:!!!!!!
hahahaha hapa ngoja nikae kimya tu..................:tape:
 
gud .basi nenda na usiangalie nyuma tena
kafanye malipizi na usirudie tena dhambi i!!!!!!

Mamy mi mzima tu jana nilienda kufundwa na mpaka nirudi mambo yatakuwa huku ujuzi kama kwa nkapa mama kubwa kiuno vumvum
 
eeewaaaa! yani hawa:llama::llama::llama:wanakamilisha ekosistim tu.

Nimegundua kwamba kadiri kamnyama kanavyozidi udogo basi kero yake huongezeka.....kanaweza kasiwe na madhara ila kakawe kero kubwa....kama mbu vile! Sasa huyu The Finest anaingia kwenye kategori ya vinyama vidogo vinavyokera, kama mbu!
hapana
misjawai kufanya u mchezo so sjui inakuwaje
nikijaribu siku moja i wl let u knw no pbm stay tuned...............!!!!!!!

Hebu rudia mara moja...
 
Back
Top Bottom