King_Jeke_Tile
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 225
- 129
Hatuwezi kua sawa anyway.... Lakini mimi sijakuelewa unahitaji nini hapo, unataka uelimishe kuhusu dini au unataka tukufuate wewe na imani yako
Kama tungeendelea na mfumo wetu wa maisha bila kuufakamia huu mfumo ulioletwa na wazungu
Mpendwa kulitamka neno hilo tu !! basi ushakuwa mamluki wa Mwenyeezzi Mungu !!Inshallah
Mpendwa kulitamka neno hilo tu !! basi ushakuwa mamluki wa Mwenyeezzi Mungu !!
"Na dini kwa mwenyeezzi Mungu ni Islam"
Sasa hata kama utekelezi yaliyomo !! wewe umeshakiri "in~Sha~Allah" maana atakavyo Allah !!
Mkuu karibu tukusaidie kuelewa uwepo wa dini ya haqi !! (ambayo ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo)
Respect to other faiths !!
Mpendwa kulitamka neno hilo tu !! basi ushakuwa mamluki wa Mwenyeezzi Mungu !!
"Na dini kwa mwenyeezzi Mungu ni Islam"
Sasa hata kama utekelezi yaliyomo !! wewe umeshakiri "in~Sha~Allah" maana atakavyo Allah !!
Mkuu karibu tukusaidie kuelewa uwepo wa dini ya haqi !! (ambayo ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo)
Respect to other faiths !!
Daud tafadhali twende kwa heshima, tutakapoishia still turidhiane (matusi kapuni) !!Kwani nini maana ya allah
Daud tafadhali twende kwa heshima, tutakapoishia still turidhiane (matusi kapuni) !!
ALLAH ni general names la (MwenyeEzzi Mungu ambayo ya sifa 99)
karibuni mikono nimewafungulia.....
Unaonesha siyo mvumilivu!! ndo maana nikarequest ujitolee bhana....Kabla sijafika mbali na wewe hebu soma hapa maana ya allah halafu tuanze kuelimishana na sio kukashifiana
God Allah - Does It Mean God?
Kuna haja ya kukashifu dini??Hapo cjakuelewa unamana gani unamjibu huyu jamaa au cjaelewa hii hadithi yako
Hutaki ya wazungu nenda misitu ya Amazon, Ethiopia kuna kabila linaitwa mursi, au Papua guinea, au India kwa kumbh mela utaona uzuri wa Dini.Habari wana jamvi.
Kwanza kabisa naomba niwiwe radhi kwa nitakachozungumza hapa kama nitawakwaza baadhi ya watu, ashankum si matusi.
Pili napenda niweke wazi kuwa ninaheshimu imani ya kila mtu na mimi natumaini kila mtu ataheshimu imani na msimamo wangu.
Ninapatwa wakati mgumu sana pale ninapotaka kuzungumza kuhusu dini na mungu kwani mambo haya yanatazamwa kwa mtazamo tofauti endapo mtu atathubutu kusema hakuna mungu ama hakuna dini.
Mimi naamini mungu yupo(kama sitapata shaka ya kutokuwepo)
Lakini ninaamini pasi na shaka kwamba ideology ya dini ni propaganda na si kitu sahihi kukifuata.
Labda niweke sababu chache ambazo zimenifanya nisiamini kwa dini yeyote (Islam and Christianity to bespecific)
1.Dini zimetoka wapi?
Dini kubwa zinazodominate Tanzanian zimeletwa na wageni. Islam imetoka Asia na Christianity imetoka Europe. Lakini unadhani kabla ya wazungu na waarabu kuja tulikua sisi waafrika hatuna imani? Je hizo imani zetu zimeenda wapi? Wazungu na waarabu walizipiga vita imani zetu na kuziita primitive na wao wakaleta imani zao na dini zao "civilization" Hivi unadhani kati ya imani tulizokua nazo sisi na hizo walizoleta waarabu na wazungu zipi ni "primitive"
Ninaamini kwamba dini zilikuja na wageni kwa mission zao (ukoloni na biashara) na baada ya mishen hizo kwisha wametuachia ujinga waafrika wa kukomaa na dini wakati wao wameshaacha huo upuuzi zamani. Tujaribu kuona misa za makanisa ya ulaya zinavyokosa waumini na tulinganishe mafuriko ya waumini wa makanisa na misikiti yetu afrika.
2. Dini zote hazitaki kupokea mabadiliko
Vitabu vikubwa vya dini ni Qur'an na biblia. Lakini maandishi yaliyo kwenye vitabu hivi na matakatifu na hatuwezi kubadilisha kwa namna yoyote.
Kama vitabu hivi viliandika zaidi ya miaka 1000 iliyopita basi vilikuwa valid kwa watu wa kipindi hiko na si kwa kizazi hiki ambacho kina mabadiliko makubwa katika kila nyanja ya maisha. Na sawa nabkutunza funguo yako ya gari la zamani na kulazimisha iendeshe kila gari jipya utakalonunua.
3. Dini ni mifumo mikubwa inayowanyonya ndugu zangu masikini walioamini.
Kama umefanikiwa kwenda katika vijiji vya hapa Tanzanian basi endapo utaona jenho zuri lolote lilioezekwa kwa bati na kujenga kwa tofali na kupakwa rangi vizuri ilihali majengo yote maeneo hayo ni tope na nyasi basi dhahiri jengo hilo litakuwa kanisa ama msikiti. Ni upuuzi kuona tuna makanisa manne na miskiti minane katika kijiji chetu ilihali hatuna hata zahanati. Pesa za ujenzi wa kanisa tulichanga lakni kanisa halina hata msaada mkubwa kilunganisha na dhahanati.
Sitaki kuzungumzia mashekh, maaskofu , mapadri na maimamu ambayo wanaishi maisha ya kitakatifu na anasa ilihali mimi muumini wananikwangua mpaka jasho langu la mwisho eti namtolea bwana.
Nina mengi ya kuzungumza na ninaahidi nitatoa sababu nyingine tele zinzofanya nisiwe na dini pundi nitakapopata wasaa.
Nawasilisha
KIBAYA AU KIZURI ZAIDI HUO UTAFITI ULIOELEZEA UMETUNGWA NA WAZUNGU"""Umekariri"Habari wana jamvi.
Kwanza kabisa naomba niwiwe radhi kwa nitakachozungumza hapa kama nitawakwaza baadhi ya watu, ashankum si matusi.
Pili napenda niweke wazi kuwa ninaheshimu imani ya kila mtu na mimi natumaini kila mtu ataheshimu imani na msimamo wangu.
Ninapatwa wakati mgumu sana pale ninapotaka kuzungumza kuhusu dini na mungu kwani mambo haya yanatazamwa kwa mtazamo tofauti endapo mtu atathubutu kusema hakuna mungu ama hakuna dini.
Mimi naamini mungu yupo(kama sitapata shaka ya kutokuwepo)
Lakini ninaamini pasi na shaka kwamba ideology ya dini ni propaganda na si kitu sahihi kukifuata.
Labda niweke sababu chache ambazo zimenifanya nisiamini kwa dini yeyote (Islam and Christianity to bespecific)
1.Dini zimetoka wapi?
Dini kubwa zinazodominate Tanzanian zimeletwa na wageni. Islam imetoka Asia na Christianity imetoka Europe. Lakini unadhani kabla ya wazungu na waarabu kuja tulikua sisi waafrika hatuna imani? Je hizo imani zetu zimeenda wapi? Wazungu na waarabu walizipiga vita imani zetu na kuziita primitive na wao wakaleta imani zao na dini zao "civilization" Hivi unadhani kati ya imani tulizokua nazo sisi na hizo walizoleta waarabu na wazungu zipi ni "primitive"
Ninaamini kwamba dini zilikuja na wageni kwa mission zao (ukoloni na biashara) na baada ya mishen hizo kwisha wametuachia ujinga waafrika wa kukomaa na dini wakati wao wameshaacha huo upuuzi zamani. Tujaribu kuona misa za makanisa ya ulaya zinavyokosa waumini na tulinganishe mafuriko ya waumini wa makanisa na misikiti yetu afrika.
2. Dini zote hazitaki kupokea mabadiliko
Vitabu vikubwa vya dini ni Qur'an na biblia. Lakini maandishi yaliyo kwenye vitabu hivi na matakatifu na hatuwezi kubadilisha kwa namna yoyote.
Kama vitabu hivi viliandika zaidi ya miaka 1000 iliyopita basi vilikuwa valid kwa watu wa kipindi hiko na si kwa kizazi hiki ambacho kina mabadiliko makubwa katika kila nyanja ya maisha. Na sawa nabkutunza funguo yako ya gari la zamani na kulazimisha iendeshe kila gari jipya utakalonunua.
3. Dini ni mifumo mikubwa inayowanyonya ndugu zangu masikini walioamini.
Kama umefanikiwa kwenda katika vijiji vya hapa Tanzanian basi endapo utaona jenho zuri lolote lilioezekwa kwa bati na kujenga kwa tofali na kupakwa rangi vizuri ilihali majengo yote maeneo hayo ni tope na nyasi basi dhahiri jengo hilo litakuwa kanisa ama msikiti. Ni upuuzi kuona tuna makanisa manne na miskiti minane katika kijiji chetu ilihali hatuna hata zahanati. Pesa za ujenzi wa kanisa tulichanga lakni kanisa halina hata msaada mkubwa kilunganisha na dhahanati.
Sitaki kuzungumzia mashekh, maaskofu , mapadri na maimamu ambayo wanaishi maisha ya kitakatifu na anasa ilihali mimi muumini wananikwangua mpaka jasho langu la mwisho eti namtolea bwana.
Nina mengi ya kuzungumza na ninaahidi nitatoa sababu nyingine tele zinzofanya nisiwe na dini pundi nitakapopata wasaa.
Nawasilisha
Hyo ina maana ya kwamba ili ujitambue kama UMEJAMBA ni lazima utaskia saut au utahisi harufu kinyume na hapo HUJAJAMBA....Angekua mzungu angetaka sifa na kuipa jina la KUJAMBA LAW........Hiyo ni njia ya kujigundua kama umejamba kwa yule atakae kua na mashaka kwamba amejamba au hajajamba SIO KWA KILA MTU, kinyume na hapo ni sheitwan anakuchezea ili uharibu sala yako coz huwez kusali hali ya kua UMEJAMBA ni lazima ukatie udhu ndo usali tena.Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
Nashukuru kama umeliona hilo. Lazima tustuke sasa.Upo sahihi.Dini sasa hivi ni biashara kubwa kuliko zote.Angalia maaskofu wa makanisa mengi makubwa ni mabilionea wa kutupwa!
Wewe ndo umekariri kwamba kila tafiti inatungwa na wazungu. Hya ni mawazo yangu tu na wala sikurejea utafiti wwte.KIBAYA AU KIZURI ZAIDI HUO UTAFITI ULIOELEZEA UMETUNGWA NA WAZUNGU"""Umekariri"
Sasa hapo umemaanisha nini na uhusiano wa mada ya jamaa.Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
we muache tu ndugu zake wanamsikilizia tu, akifa utawaona nduguze wanavyohangaika kwa mashekhe/maaskofu ili azikwe kidini huyo, dini ni raha sana.Umesema utaendelea kutokuwa na dini..na hiyo ndio imani yako coz unaamini hakuna Mungu na huamin dini yyote..
Sasa je,lengo lako hasa kuleta hii mada ni nni?
Kwa nni usikae kimya na imani yako...
Au huna confidence na unachokiamini sasa unataka labda tu ku prove wrong?....
Amini unachokiamin na usisumbue wengine..