RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,523
- 135,620
Sio hulka. Hata ukimiliki gari miaka 20 ukitoka Toyota ukiingia huko kwa Wajerumani ni ligi mbili tofauti. Kama una hela ya mawazo achana na magsri ya wazungu.Toka mwaka 2012 nanunua magari mkuu napata maoni kama hili lako, awali nilikuwa napata tabu sana na huo msemo au kauli, ila nikaja jua ni hulka zetu wabongo. Hela ni ya mawazo kweli ila naihitaji pia.