Mpaka Serena old na new nimetumia, ukiacha Primera toleo la Japan na Primera za uingerezaKwenye fuel hapo umetupiga, umewah kutumia duals?
Hazina shida yoyoteHabarini za Muda Huu Wana JF
Nissan Dualis Imepatwa na Nini Huko mbona Zinauzwa sana hizi Gari watu hawakai Nazo ..
Hebu tupeni uzoefu wa Mliotumia Hizi Gari, Changamoto zake ni kiasi kwamba mtu hakai nazo au Zinapendwa sana
Bado xinawaka Moto, mbona Siku hzi haya Matukio Hatuyaoni Sana?
Duals mkuu inakula kawaida sana yan huo ndo ukwelMpaka Serena old na new nimetumia, ukiacha Primera toleo la Japan na Primera za uingereza
Nimesahau na X-trail pia
Sahihi aisee ckuwah ona hii aiseeHebu Angalia Hapa hizi Screen Shot.. Nyingi naona Beforward Huko zimeandikwa Automatic na Chache sana Ndio zina CVT .. View attachment 3541864View attachment 3541865
OK OK sawa mkuuDuals mkuu inakula kawaida sana yan huo ndo ukwel
Ila hapo naona models tofaut apo kwenye model codeHebu Angalia Hapa hizi Screen Shot.. Nyingi naona Beforward Huko zimeandikwa Automatic na Chache sana Ndio zina CVT .. View attachment 3541864View attachment 3541865
Mkuu nahitaji in and out za aina ya gari VezelHaina kwere mkuu
Hazipo nyingi barabarani kama kipindi cha nyuma.Bado xinawaka Moto, mbona Siku hzi haya Matukio Hatuyaoni Sana?