Nissan Dualis zimepatwa na nini?

Nissan Dualis zimepatwa na nini?

Kumbe gari ikiuzwa sana ni tatizo? Kama zingekuwa haziuzwi, hao wanaozitumia wangezipata wapi?
Au gari gani wewe unaona haiuzwi sana, tukaitafute kwenye mitandao tusiione
 
Hata mimi nimeshangaa mkuu, dualis inatumia mafuta vizuri sana kwa uzoefu wangu
Yan duals ukikingqnisha na engene zingine zenye 1999 kama za subaru, duals inanusa pia baadh ya spare bei chee mfano gearbox nilinunuaga laki 7.5. hizi gari bhna hazitakagi mtu mwenye rough driving cvt fruid fake na mengine lakin ni binge moja la gari ndio maana watu bado wanaendelea kuagiza, hakikisha tu hata plugs ni zile recommended tu
 
Yan duals ukikingqnisha na engene zingine zenye 1999 kama za subaru, duals inanusa pia baadh ya spare bei chee mfano gearbox nilinunuaga laki 7.5. hizi gari bhna hazitakagi mtu mwenye rough driving cvt fruid fake na mengine lakin ni binge moja la gari ndio maana watu bado wanaendelea kuagiza, hakikisha tu hata plugs ni zile recommended tu
Nina nissan dualis namba BZB(BABA) na inadunda mbeya-songea-Mtwara bila shida yeyote. Nimeshabadili gearbox mara moja nilinunua laki 5 na kile ile water reserve tank ndo huwa inaletaga shida. Pia kuna kipindi ilikuwa haipokei resi na hii ilitokea baada ya panya kula nyaya. Nikitoka mbeya to dar mafuta naongezea Mlandizi
 
Nina nissan dualis namba BZB(BABA) na inadunda mbeya-songea-Mtwara bila shida yeyote. Nimeshabadili gearbox mara moja nilinunua laki 5 na kile ile water reserve tank ndo huwa inaletaga shida. Pia kuna kipindi ilikuwa haipokei resi na hii ilitokea baada ya panya kula nyaya. Nikitoka mbeya to dar mafuta naongezea Mlandizi
Yah water resarve tank hua inapasuka sana hasa ukitumia maji badala ya coolant
 
Watumiaji ndo wana shida hata mwaka hawamalizi wamechoma gari wakat mzungu katumia km laki 9,
Kwetu shida ni Nini?! Maana Japan Huko Gari Hizi Odometer zake unakuta nyingi ni Kilometer elfu 50 mpaka laki.. Huku Mbongo akitembelea kilometer elfu 5 anaiweka sokoni imemshinda au Imeungua Tayari
 
Kumbe gari ikiuzwa sana ni tatizo? Kama zingekuwa haziuzwi, hao wanaozitumia wangezipata wapi?
Au gari gani wewe unaona haiuzwi sana, tukaitafute kwenye mitandao tusiione
Dualis watu wengi zinawashinda Wanazipeleka kwa Madalali wa Magari Used ilimradi mtu arudishe Pesa yake anunue Nyingine, Angalia Resale Price yake Ndio Utajua Watu wanarudisha Mitaji tu..

Mtu kaagiza Gari Japan mil 15-17 halafu Anaisajili kwa Namba E then mwaka Hujaisha Anaiuza mil 10 mpaka mil 8

Ila Angalia Kwa Toyota IST au Gari zingine za Toyota, Mtu alinunua Mil 10 anauza mil 13 mpaka 15
 
Yan duals ukikingqnisha na engene zingine zenye 1999 kama za subaru, duals inanusa pia baadh ya spare bei chee mfano gearbox nilinunuaga laki 7.5. hizi gari bhna hazitakagi mtu mwenye rough driving cvt fruid fake na mengine lakin ni binge moja la gari ndio maana watu bado wanaendelea kuagiza, hakikisha tu hata plugs ni zile recommended tu
Ila Naona Kwenye Website za Japan kuna Zenye Mfumo wa AUTOMATIC.. Tofauti na CVT
 
Sio hulka. Hata ukimiliki gari miaka 20 ukitoka Toyota ukiingia huko kwa Wajerumani ni ligi mbili tofauti. Kama una hela ya mawazo achana na magsri ya wazungu.
Ninayo volkswagen touareg hapa nyumbani. Huwa naenda nayo kwenye mizunguko maalumu tu na mitoko ya wikiend.

Siku za kawaida kazini na vimizunguko vya hapa na pale natumia IST ya wife. Ndinga za mzungu ni noma
 
Dualis watu wengi zinawashinda Wanazipeleka kwa Madalali wa Magari Used ilimradi mtu arudishe Pesa yake anunue Nyingine, Angalia Resale Price yake Ndio Utajua Watu wanarudisha Mitaji tu..

Mtu kaagiza Gari Japan mil 15-17 halafu Anaisajili kwa Namba E then mwaka Hujaisha Anaiuza mil 10 mpaka mil 8

Ila Angalia Kwa Toyota IST au Gari zingine za Toyota, Mtu alinunua Mil 10 anauza mil 13 mpaka 15
Ni gari gani hio ulinunua 10m ukauza 15m? Uliuza baada ya kuitumia muda gani? Huyo uliemuuzia alitoka Nyarugusu au Kasulu?
 
Ni gari gani hio ulinunua 10m ukauza 15m? Uliuza baada ya kuitumia muda gani? Huyo uliemuuzia alitoka Nyarugusu au Kasulu?
Hili usibishe, Mimi pia nimewahi kufanya hivyo. Niliagiza Audi A4 kwa mil 9 tu wakati wa offer ilikua 2016. Nikaja kuiuza kwa mil 14
 
C

hawah ziona labda manual ndio nazijua na kuziona pamoja na cvt
Hebu Angalia Hapa hizi Screen Shot.. Nyingi naona Beforward Huko zimeandikwa Automatic na Chache sana Ndio zina CVT ..
1000089303.jpg
1000089307.jpg
 
Back
Top Bottom