Nissan Dualis zimepatwa na nini?

Nissan Dualis zimepatwa na nini?

Haina kwere mkuu
Mkuu, kuna uzi nilikuquote juzi sijaona reply yako.

Nahitaji kununua gari ya kuanzia maisha ya bajeti ndogo ambayo itadumu.

Option ya kwanza nipo nayo ni kuna jamaa anauza Mazda Verisa, nafikiria kama kuna option nyingine nzuri zaidi unitonye.
 
Sio hulka. Hata ukimiliki gari miaka 20 ukitoka Toyota ukiingia huko kwa Wajerumani ni ligi mbili tofauti. Kama una hela ya mawazo achana na magsri ya wazungu.
Kuna rafiki yangu ana VW Tiguani ilikuwa ina leakage ya oil ametumia karibu 5M badaye ndio akabahatisha fundi ikakaa sawa.
Magari ya wazungunni zaidi ya shida
 
Mkuu, kuna uzi nilikuquote juzi sijaona reply yako.

Nahitaji kununua gari ya kuanzia maisha ya bajeti ndogo ambayo itadumu.

Option ya kwanza nipo nayo ni kuna jamaa anauza Mazda Verisa, nafikiria kama kuna option nyingine nzuri zaidi unitonye.
Nitakua sikuona mkuu.
Unanunua kwa mtu au unataka kuagiza? Budget maximum ngapi mfano? Verisa nzuri, maintenance na running cost ndogo, hapo jumlisha na Fit, Toyota je? Suzuki Swift nzuri ila sio reliable level za kina Toyota naHonda
 
Nitakua sikuona mkuu.
Unanunua kwa mtu au unataka kuagiza? Budget maximum ngapi mfano? Verisa nzuri, maintenance na running cost ndogo, hapo jumlisha na Fit, Toyota je? Suzuki Swift nzuri ila sio reliable level za kina Toyota naHonda
Ni rough idea tu ilikuja kichwani baada ya kuona kuna jamaa anaiuza Bongo kwa Milioni 12.5.

But napenda ya kuagiza kutoka Japan na bajeti yangu ni Milioni 13. Pia Toyota naona ni nzuri lakini sifahamu ipi itanifaa (unaweza kunijuza kuhusu Toyota ya hiyo bajeti). Na kuhusu Honda je?

Gari ninayohitaji ni ya mizunguko ya mjini na nyumbani ikiwemo kubeba familia pamoja na kuitumia kama Bolt if possible.
 
Ni rough idea tu ilikuja kichwani baada ya kuona kuna jamaa anaiuza Bongo kwa Milioni 12.5.

But napenda ya kuagiza kutoka Japan na bajeti yangu ni Milioni 13. Pia Toyota naona ni nzuri lakini sifahamu ipi itanifaa (unaweza kunijuza kuhusu Toyota ya hiyo bajeti). Na kuhusu Honda je?

Gari ninayohitaji ni ya mizunguko ya mjini na nyumbani ikiwemo kubeba familia pamoja na kuitumia kama Bolt if possible.
Kwa maelezo yako haya wewe ni mgeni kwenye kumiliki gari, pia kipato chako ni kidogo. Pia unataka ufanye bolt

Kwa hiyo hapo gari pekee ya kukufaa ni IST. Ukienda nje ya IST lazima utoe milio
 
Ni rough idea tu ilikuja kichwani baada ya kuona kuna jamaa anaiuza Bongo kwa Milioni 12.5.

But napenda ya kuagiza kutoka Japan na bajeti yangu ni Milioni 13. Pia Toyota naona ni nzuri lakini sifahamu ipi itanifaa (unaweza kunijuza kuhusu Toyota ya hiyo bajeti). Na kuhusu Honda je?

Gari ninayohitaji ni ya mizunguko ya mjini na nyumbani ikiwemo kubeba familia pamoja na kuitumia kama Bolt if possible.
Kwa budget ya Mil 13 nashauri Honda Fit Hybrid GP1 2010, 2011 au 2012.

Itakufaa kwa Bolt pia kwa ulaji wa mafuta.

Toyota nyingi utapata JP kwa bei nzuri tatizo ushuru utasababisha ije kua bei kali sana. Imagine mfano kupata IST used JP bila mil 18+ haiwezekani
 
Kwa budget ya Mil 13 nashauri Honda Fit Hybrid GP1 2010, 2011 au 2012.

Itakufaa kwa Bolt pia kwa ulaji wa mafuta.

Toyota nyingi utapata JP kwa bei nzuri tatizo ushuru utasababisha ije kua bei kali sana. Imagine mfano kupata IST used JP bila mil 18+ haiwezekani
Okay.

Nimekupata, nitaifuatilia hii Honda.

Pia, nitaangalia hiyo option ya kupata IST kwa kuzingatia bajeti inayoongezeka.

Asante kwa ushauri.
 
Sisi wengine kwenye gari tunaongeza mafuta tu ndiyo tuna nafasi ya kuwezana na hizo Dualis!

BTW:Resale value yake vipi huko sokoni?
 
Badoo, ila soon ntasukuma ndinga yangu.
PESA haitaki kelele, natulia kwenye nyuzi za maana na msingi.
😂😂😂😂😂😂
Kama masihara umetoboa asee😁
Wamebaki wale madogo mwichuluwi na mshamba hachekwi. Hawa sijui wana gundu gani asee
 
Zipo Ist nyingi zinauzwa. Zimepatwa na nini? Nyie madogo hamjui magari mnakuja kutusumbua nlidhani una hoja ya maana. Mi nauza BMW utauliza zimepatwa na nini? Au Alphard ?
Mpaka nimekuletea uzi huu.. Hizo Dualis zote zinauzwa On the same day.. Kitu ambacho huwesi kukuta kwa IST.. Either dalali mmoja ndio anakuwa nayo
 
Back
Top Bottom