Burn the bridge _Tz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 2,247
- 6,615
- Thread starter
- #21
Sawa kaka hakuna shida nashukuru sanaChunguza fani nzuri yenye market nje, au somea udereva, umeme, plumbing, n.k ukifanikiwa kupata diploma tu , nenda nje
Sawa kaka hakuna shida nashukuru sanaChunguza fani nzuri yenye market nje, au somea udereva, umeme, plumbing, n.k ukifanikiwa kupata diploma tu , nenda nje
Shukran sana mkuu# Nitafute mtaji wa biashara nikomae na Biashara??
Udereva wa gari za kawaida.Mkuu zipi faida ya Lugha ya kichina?
Na udereva wa aina gani ambao niwe specific kuutafuta?
Mkuu ahsante sana kwa muda wako na hekima Yako naenda kufanyia kaziUdereva wa gari za kawaida.
Faida za Kichina ni kuwa...so far inaonekana kama Tanzania inaenda kuwa koloni la Mchina, wamejaa Tanzania mpaka wanakera, wanawekeza kila kukicha, wanafungua maviwanda kila kukicha.
Ukiwa na cheti cha udereva na ukijua lugha ya Kichina itakusaidia kupata mchongo utakaokulipa vizuri kwenye makampuni ya hawa jamaa. Hawa jamaa wanalipa mishahara ya kijinga sana, ila ukiwa na skills za ziada inakusaidia, angalau unaweza kunegotiate nao wakakulipa vyema.
Dah kweli ukiwa dereva huwezi kupata maisha ya furaha kulea watoto nkNamba 1 ; Achana nayo kabisa kama unaamini katika furaha ya kuwa na familia na kulea watoto.
Hivi karibuni kuna kampuni fulani ya Kichina ilikuwa inatafuta assistant manager, walikuwa wanataka awe anajua Kichina na awe ana leseni ya udereva.Mkuu ahsante sana kwa muda wako na hekima Yako naenda kufanyia kazi
Hapo mtaji wa kuku broiler kbs yani broiler 300 ,tsh 570000 chakula cha broiler had wakue akizid 700000 ,madawa na chanjo tsh 50000 faida biashara ikienda vizuri faida had tsh 40000# Nijifunze udereva wa magari makubwa?
# Nijilipue Dubai au Qatar kufanya KAZI za unskilled then after Nijilipue ulaya?
#Nikajitoleee halmashauri bila malipo??
# Nitafute mtaji wa biashara nikomae na Biashara??
Nina umri wa miaka 25
Location Dar es salaam
Ni asset zenye Thamani ya 3m cash ambazo naweza kuuza kupata capital ya kukamilisha yote hapo juuu
Kwa makini sanaa naomba ushauri wako
Kabla hujajiripua uwe na back up plan (mfukoni uwe vizuri) uzuri wa nchi za watu ukiwa vizuri mwanzo unaweza kujishikiza mpaka ukajipata ila Kwa hiyo M3 hufiki kokote utakua vibaya mno maybe Kama unaenda huko ukiwa Na connection tayaliHahahaha 😂
Hahha mkuu very interesting
Sasa ushauri wako mkuu ni upi mana naona mwisho unatamani sana kujilipua upi muafaka wako?
Mkuuu huku natoka Nina uhakika wa KAZI moja kwa mojaKabla hujajiripua uwe na back up plan (mfukoni uwe vizuri) uzuri wa nchi za watu ukiwa vizuri mwanzo unaweza kujishikiza mpaka ukajipata ila Kwa hiyo M3 hufiki kokote utakua vibaya mno maybe Kama unaenda huko ukiwa Na connection tayali
Jichange zikifika M10-15 sepa
Safi ushauri mzuri wakola sanaKujitolea Hapana
Kufanya Kazi za ulinzi hapana
Kwenda nje yes
Itapendeza utafute skills au ujiongeze kwa kujifunza hata online skills ya masoko na mauzo Ila ukiingia Dubai focus na Kazi za kawaida ambazo sio kulinda pekee.
Atoe ulaya aweke Marekani# Nijilipue Dubai au Qatar kufanya KAZI za unskilled then after Nijilipue ulaya? hio ndio njia sahihi logical
Chumba nachokaaa nalipa 30k naweza kufugaHapo mtaji wa kuku broiler kbs yani broiler 300 ,tsh 570000 chakula cha broiler had wakue akizid 700000 ,madawa na chanjo tsh 50000 faida biashara ikienda vizuri faida had tsh 40000
Mkuu kwenda marekani ni ngumu inahitaji pesa nyingi Bora ulaya unaweza hata kuoa jimama la kizunguAtoe ulaya aweke Marekani
Sawa boss appreciate sanaHivi karibuni kuna kampuni fulani ya Kichina ilikuwa inatafuta assistant manager, walikuwa wanataka awe anajua Kichina na awe ana leseni ya udereva.
Mpaka wanakuja kumpata walihangaika sana, sielewi shida ilikuwa ni location au watu hakuna.
Jiongeze!
Unasubili nini sasa???Mkuuu huku natoka Nina uhakika wa KAZI moja kwa moja
Furaha ipo kwenye pesa kijana, usipokuwa na pesa hata familia yako itakuona bwabwa tu.Dah kweli ukiwa dereva huwezi kupata maisha ya furaha kulea watoto nk
Chumba nachokaaa nalipa 30k naweza k