nishauri chochote

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ngara23

    JamiiForums Tanzania Leo nimetimiza umri wa miaka 35, nishauri chochote

    Niliambiwa na wazazi wangu kuwa nilizaliwa April 30, 1991 Na Leo nimetimiza miaka 35 Mimi ni mme na baba, Nina watoto 2 Ni mfanyabiashara wa nafaka, mkulima na mfugaji Nitakie heri na nishauri chochote
  2. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Nishauri Chochote kati ya haya, nimemaliza chuo

    # Nijifunze udereva wa magari makubwa? # Nijilipue Dubai au Qatar kufanya KAZI za unskilled then after Nijilipue ulaya? #Nikajitoleee halmashauri bila malipo?? # Nitafute mtaji wa biashara nikomae na Biashara?? Nina umri wa miaka 25 Location Dar es salaam Ni asset zenye Thamani ya 3m cash...
Back
Top Bottom