Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,604
- Thread starter
- #21
Mkuu Gallius , karibu pande hiziKabla ya kusifia sana naomba unipe faida ya hicho kiambata excellium kwenye mafuta?? Na mafuta yakikikosa yanakosaje ubora?
Jee Kuna Ukweli Kuwa in Tanzania, Mafuta ya Vituo vya Total, " They are The Best?. If Yes, How Wakati Tunanunua Bulk?.
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, Jee Kuna Ukweli Kuwa in Tanzania, Mafuta ya Vituo vya Total, " They are The Best?. If Yes, How?!. Juzi kati katika kusheherekea Sikukuu ya Wapendanao Valentine, Kampuni ya Total Tanzania ilitoa punguzo la TZS 70 kwa kila lita ya mafuta utakayo nunua katika...
www.jamiiforums.com