Apo B ujue mkulu Bigirita ana maana nyingine kabisaaa....au bado asubuhi sana?
Hapo mamushka naona umepiga ki-noname.siwawezi (sijui wewe na nani thoguh)
siwawezi (sijui wewe na nani thoguh)
"" Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana, naye atanisamehe upotovu wa dhambi zangu"
Kaizer@jamiiforums.com
Hapo mamushka naona umepiga ki-noname.
LOL gmorning B. nadhani tuanzie hapo (nahisi utakuwa hujaamka vizuri)
Hapo mamushka naona umepiga ki-noname.
LOL gmorning B. nadhani tuanzie hapo (nahisi utakuwa hujaamka vizuri)
hommie hangover inakufanya uwe makini eh? lol. ngoja no-name aje!!Hapo mamushka naona umepiga ki-noname.
Hebu kakague. Huwa sicheleweshi, hasa ki-noname kinapohusishwa.Hommie vipi? umeshanigongea senks kwa ku do ze nidiful apo lakini?
Hehehe! Shughuli ni watu! (kwa kinoname- Activities is people.)B goodmorning......
nshaanza na leo nahisi nitapiga ki-NONAME kwa kwenda mbele....
Hehehe! Hommie ndo anaamka huyu!duh..labda ulimiss ile ilokuwa kwen transition...well hii ya kwako ndo umeingia rasmi kwen mambo ya kufoka foka na mabling bling nn kiongozi!
Panapokuwa na maslahi yangu huwa hangover haileti madhara. Kama unajua kusoma katikati ya mistari nadhani utakuwa umenielewa.hommie hangover inakufanya uwe makini eh? lol. ngoja no-name aje!!
Mkuu isije kuwa habari ya tanker la mafuta na kipanya bana, pima mwendo mkuu.Yeah..ngoshwe vipi....nimekukwaza nini mkuu? I am the one and only one....when it comes to Cheusimangala!😀
hommie hangover inakufanya uwe makini eh? lol. ngoja no-name aje!!
Hehehe! Shughuli ni watu! (kwa kinoname- Activities is people.)
Amini nakuambia: Hakuna raha kama kudumisha mila na mrembo mwenye pete ya uchumba. Laiti Cheusie angelijua hilo...............!Ni juthijuthi tu tanker la mafuta lilimengukia kipanya, pima mwendo mkuu.
"Mtumishi wa Mungu na Mpakwa mafuta " Cheusimangala alidhani wengi tulikwazika na hiyo "real elevation" kumbe haikuwa hilo, ni pete ya ndoa badala ya uchumba ndo ilitukwaza zaidi....
Naomba msamaha nikimaanisha kutoka ndani ya moyo wangu,
Ni mara kadhaa nimekuwa nikikutana na coments za kaka zangu wakidai kuwa avatar yangu ile ya mwanzo imekuwa ikiwatia majaribuni.
Mimi ni binti wa kikristo,hivyo kumuangusha mwenzangu majaribuni ni jambo zito na lenye kuipoteza amani ya moyo wangu ndio maana nimeamua kuitoa avatar ile.
Mbaya zaidi najiona nilikuwa kama mnafiki sbb sometimes nimekuwa nikiwaandikia maneno ya ujumbe wa mungu nikiwasihi tuache maasi lkn avatar yangu ilikuwa against what i was preaching sbb ilikuwa ikiwasukuma kaka zangu kuwazia maasi.(nimetubu kwa hilo,nanyi tubuni).
Pia nimeibadili sababu PMs zilizokuwa zikimiminika kama mvua ya masika zilikuwa zinanikosesha pumzi na hata niliposema nina mchumba haikusaidia,hivyo natumai mabadiliko haya ya avatar yatapunguza wingi wa PMs kama sio kuzimaliza kabisa.
now i know what carmel waz talkin about,nimekoma jamani!!!
kaka zangu nisameheni hakika sikujua kama kale ka-avatar yaani kanaweza kuwatia majaribuni jamani.
I love u all.
Amini nakuambia: Hakuna raha kama kudumisha mila na mrembo mwenye pete ya uchumba. Laiti Cheusie angelijua hilo...............!
Halafu kale ka fevareti ketu mbona hukatendei haki?Meku hii hapa na nyingine, Noname tumetunuku heshima stahiki