bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
he! kuna watu wanapenda avatar!
Kiongozi hukulijua hilo???
then know it now....
he! kuna watu wanapenda avatar!
ur welcome,am glad umekipenda!pamoja daima!cheusimangara
@ thanx kwa kile kitu eti ee dada halisi wa Kitanzania
talk to u kesho mpendwa
cheusimangara
@ thanx kwa kile kitu eti ee dada halisi wa Kitanzania
talk to u kesho mpendwa
hata mi ntakipenda naombeni wajemeni......
nisameheni kwa kudandia tren kwa mbele
ur welcome,am glad umekipenda!pamoja daima!
hahaha ni kweli hata kwako kitakuwa kizuri sana ngoja aje leo sijui kaenda wapi namtafuta kama Almas Mwadui
cheusimangara
@ thanx kwa kile kitu eti ee dada halisi wa Kitanzania
talk to u kesho mpendwa
FL1 avatar yako inanitia majaribuni, sijui nikutumie PM?
Naomba msamaha nikimaanisha kutoka ndani ya moyo wangu,
Ni mara kadhaa nimekuwa nikikutana na coments za kaka zangu wakidai kuwa avatar yangu ile ya mwanzo imekuwa ikiwatia majaribuni.
Mimi ni binti wa kikristo,hivyo kumuangusha mwenzangu majaribuni ni jambo zito na lenye kuipoteza amani ya moyo wangu ndio maana nimeamua kuitoa avatar ile.
Mbaya zaidi najiona nilikuwa kama mnafiki sbb sometimes nimekuwa nikiwaandikia maneno ya ujumbe wa mungu nikiwasihi tuache maasi lkn avatar yangu ilikuwa against what i was preaching sbb ilikuwa ikiwasukuma kaka zangu kuwazia maasi.(nimetubu kwa hilo,nanyi tubuni).
Pia nimeibadili sababu PMs zilizokuwa zikimiminika kama mvua ya masika zilikuwa zinanikosesha pumzi na hata niliposema nina mchumba haikusaidia,hivyo natumai mabadiliko haya ya avatar yatapunguza wingi wa PMs kama sio kuzimaliza kabisa.
now i know what carmel waz talkin about,nimekoma jamani!!!
kaka zangu nisameheni hakika sikujua kama kale ka-avatar yaani kanaweza kuwatia majaribuni jamani.
I love u all.
Jamani!. keshaomba samahani, mi nadahani kikubwa ni kumsamehe, nyie ambao mnataka kuongeza namba of your posts kwenye jf endeleeni na mjadala wa kuhoji kuomba kwake samahani. CHEUSIMANGALA, MI NIMEKUSAMEHE NA NINAHAMA KWENYE HOJA.