King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
mna diskasheni gani hapa mnanipa mawazo mie nalea mapacha! manake paw anadeka kuliko mtoto mpya.
nini mbaya?:bump2::bump2:
nini mbaya?:bump2::bump2:
Hilo swali LA msiiiingi mno!MNOO
King'asti ulivyo Tomaso naomba tu ukuje!
Utanchosha na maswali baadae!
Mie nshawaza hadi akili za uzeeni zimeisha.
Afu wajinga hawa, wasije kuwa wamehamia PM, maana mie moyo wangu wote umelala hapa.