Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,363
I swear kiuno changu kimeunganishwa na umbea, sasa hivi kinakata kona tu bila kunishirikisha.
hahahahahaha!! Mi natamani niingie ndani ya skriini nifanye udakuzi!! Wallah likizo tam jamani!!
I swear kiuno changu kimeunganishwa na umbea, sasa hivi kinakata kona tu bila kunishirikisha.
hahahahahahaha!! Ujue natumia simu hahaha em fanya kusachi ukonekti vidot utapata kuona maajabu! Hahaha!!
Mwambie akurudishie milioni kumi zako
Alikupa 10M?
Hebu nipe list ya maarfu kwa kufungukiwa ma sred, from there naweza ku draw konclusheni.
Mwambie akurudishie milioni kumi zako
hahahahahaha!! Mi natamani niingie ndani ya skriini nifanye udakuzi!! Wallah likizo tam jamani!!
I swear kiuno changu kimeunganishwa na umbea, sasa hivi kinakata kona tu bila kunishirikisha.
hahahaha umenifanya Kidogo nicheke
loh.. jitahidi kujua kilichotokea huko selo... tuanzie hapo kwanza.
Pole aisee, sasa kwa nini wewe ile ID yako ya zamani ni kimeo? Ujue sasa hivi all MMU star are guilty, til your old ID revealed.
Mbona umenikatia simu? na unajua sipendi kukatiwa simu? ebu tuyamalize haya
Pole aisee, sasa kwa nini wewe ile ID yako ya zamani ni kimeo? Ujue sasa hivi all MMU star are guilty, til your old ID revealed.
Enh sie wazee wenzie atwambie tuuu!
Turesti ini pisi!
sababu nampenda na niko na future nae siwezi fanya hivyo hata Kama mungu hajapanga kuwa pamoja