Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

nakufa mbavu!
wewe concern yako ni hiyo tu 10 mil? wakati shori anafuatwa kila nchi anayoenda?

Mtoa mada, kichanga ntamuachia AshaDii alelee na kakake, kama Rapunzel anakuzingua njoo kwanguuuuuu, ngwisaaaaaaa utachotaka ntakupaaa hehehehe.

cc snowhite, kwa taarifa

sasa wewe King'asti utakuwa unanitakia kwa ajili ya hela tu....mi sipendi mwanamke mpenda hela ujue
 
Last edited by a moderator:
Mpigie tena, ila naudhika mkienda chemba.
He he he, Antonio Brando akililia Penzi la Sophia Santana, like in movies, how sweetie jamaoni.

Ngoja nimfosi zombie anifungukie, sijawahi fungukiwa hazarani mie.
Yani mi mwenyewe nimegundua how sweeto it iz!
Jamani ruksa mtu kunifungukia hazarani!
Au sijui nijiwowe!
 
Mpigie tena, ila naudhika mkienda chemba.
He he he, Antonio Brando akililia Penzi la Sophia Santana, like in movies, how sweetie jamani.

Ngoja nimfosi zombie anifungukie, sijawahi fungukiwa hazarani mie.

Hahahahaha,,, Kwa staili hii,, mnyime papuchi mwenyewe atakuja kufungukia hku!!! Hop utafanikiwa
 
Back
Top Bottom