Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

"Unaamua kuwa -----" Naomba Mungu nikifikia kupenda nisipopendwa; nichukue. Sijui.
 
shostie!
we acha tu hili sredi lilifanya nisitoe homuweki nisisahihishe insha nisimalizie zamu mradi tu ilikuwa burudani!
nilikuwa nacheka mpk machozi
Kongosho na Munkari sio watu wazuri!

yaani mie nimecheka kama mwehu. wallah hawa watu sio wazima. ila hii thread inanukia utajiri tajiri. sijui nilichelewa wapi kumbembelezea limbogin akubaliwe.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom