PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,996
- 2,017
Siku hizi humu ni msimu wa kulavuana tu!
Huyo mililita sijui kilolita aliwekaga uzi hapa oh nataka kumuoa huyo bibie vai!wakacharurana weeee binti akahitimisha SIKUTAKI!
Leo asbh kaamka na sredi oh nimetoka kutoa posa jiandaeni na harusi,weeeeeeeeeh!kimemuwakiaje !mwisho oh mi natania jamani!
Mfyyuuuuuuuu unaanzaje kumtania mtu usiye na utani nae?
Ndo anatolewa kucha bila PF3 huko!
Sisi tuhesabu tu hao watoto watakaozaliwa hiyo mwakani, maisha yanavyotait na sisi tunaingiza tu product sokoni