Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

Umeonaeeehhh??? Nahisi watu washaanza kumPM kutaka share ya zawadi LOL

hahahahhaha mi hata siendi pm hapa hapa Kongosho ataipiga pasu afu mi msukuma mwenzie akinikana nampaka mwanza nzima lol
 
Last edited by a moderator:
Why hii ni sticky?

Umetajwa humu ujuee!
Salama yako ututajie mtu anayeweza kufanya sredi sticky
Anayeweza kuhonga million 10
Anayeendaga ulaya ulaya
Mod
Mwenye masifa sifa hivi
Mbebs maana jamaa ana bembeleza bans
...,zingine Kongosho endeleaaa ili bossman atupunguzie jitihada za umbea!
 
Last edited by a moderator:
Siredi hadi imeibua mambo ambayo baba wa Taifa alipiga marufuku? Ukabila?


Lazima huyu dada amsamehe mwenzie, haya mambo ni makubwa sana.

hahahahhaha mi hata siendi pm hapa hapa Kongosho ataipiga pasu afu mi msukuma mwenzie akinikana nampaka mwanza nzima lol
 
Kuna watu wanapenda jamani....Hadi raaaahaa..!! Nikiiwaza hiyo 10M na huu ukapuku wangu...Mweeee!!!
 
AAAAAAAGH WANAWAKE WAMEJAAA KIBAO BANAAA

Join Date : 30th May 2014

 
Siredi hadi imeibua mambo ambayo baba wa Taifa alipiga marufuku? Ukabila?


Lazima huyu dada amsamehe mwenzie, haya mambo ni makubwa sana.

hahahhaa ukarimu unaanzia nyumbani
Rapunzel ana act kama yule moreen baby
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom