mgesa
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 997
- 946
nimeokoka kwa sasa...namtumainia mungu
Walokole hatukumbuki ya nyuma bwana! Unatakiwa umshukuru kwkutokulazimisha na sio kuima msamaha
nimeokoka kwa sasa...namtumainia mungu
Jembe kilo hiyo avata yako nimecheka sana,unaweza nitumia?haaaa haaaa haaaaa vipi neno hilo limekufurahisha sana mkuu 🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Sasa mbona unamuomba samaha wakati tunda ni la kwako.Ww si ndio una uamuzi kua nani atakula au nani hali.ningetaka kumegwa wapo wa kufanya hivyo lakin mim lengo langu ni kuomba msamaha kwa mwl
Nogesha na kajina kake basi ili kama ana mke ajue aliyoyapitia mumewekuomba msamaha mkuu
Kumbe unatumia JF? Sawa nimekusamehe ila naomba unisaidie, japo siku moja nami furaha yangu niipata paata nakuzimia sana, natanguliza shukra, maan ulivyoniacha ile siku had leo sina bahata, nitajiona mwenye bahati kupata penzi lako, i love you baby girlWaungwana wazima?
Mimi nakumbuka mwaka 2013 nikiwa chuo mwaka wa kwanza nilijikuta naingia mkenge na mwl wangu ambae alikuwa mkenya akanikaribisha gheto kwake nikaenda tukapiga stori za hapa na pale mwl akijua atakula tunda la mwanafunzi wake nikagoma na kipindi hicho sijui hata mapenzi ni ni nilikuwa nasikia kwa watu tu..
Nakumbuka mamayangu alinipa wosia kuwa usikubali mwanaume akuchezee akikupenda mwambie twende kwa baba yangu mbezi ukajitambulishe ..mwalimu kapiga kiswahili nikawa simuelewi wakati huo nilikuwa na uhuru kidogo maana nilikuwa nakaa hosteli.
Mwalimu nakumbuka alilia akiniambia naomba tunda.. nikakataa.. akalia sana..
Baada ya kuniona nimekataa akaniambia siutalala kwangu leo nikajibu hapana..kama MUNGU vile aliniokoa Baba yangu akanipigia simu niko hapa hosteli kwenu uko wapi? Nikamjibu nipo Posta... Posta mbona kama upo sehemu yenye muziki sana? Nikasema hapan ni gari la matangazo linapita..akaguna nakupa dakika kumi nione sura yako hapa ...nikajibu sawa baba nakuja...
Mwl nikamuaga akasema okey huku akiwa amenuna kwelikweli akaniambia ngoja nitakupeleka mpaka Ubungo..tumefika hapa tanesco almanusura tupate ajali gari yake ikakwaruzwa na daladala.. nilibaki nikisema MUNGU wangu nisamehe..akaniambia usijali angetugonga angetulipa..
Akanishusha pale darajani nikamwaga.. Akashuka kwenye gari akanikumbatia akisema nakupenda sana****** .. Nilishindwa kumjibu mi nawaza Baba kaja kunitembelea nitamweleza posta nimeenda kufanyaje?...
Baada ya dakika chache akaniaga..huku akinipa buku teni.. Nakumbuka nilikwea gari fasta nikashuka hosteli nikamkuta mzee namsalimia akaniuliza una uhakika ulikuwa Posta? Nikajibu ndio.. alichoniambia hiyo tabia yako uliyoianza usipoacha mapema utanijua mim ni nani.. Nilichoka moyo ulikwenda kasi...
Lakini nayaandika haya nikiwa namwomba mwl wangu raia wa kenya anisamehe mim mwanafunzi wake kwa kumnyima tunda. Pia nilikuwa sitarajii kitu kama hicho kutoka kwake..najua utakuwa unaperuzi huku ukiona huu ujumbe naomba unisamehe.
Ni mimi mwanafunzi wako!
Jembe kilo hiyo avata yako nimecheka sana,unaweza nitumia?
hila la kwapa , kunuka bila kidonda.nina hila gani mkuu
ole wako siku nyingine uje kumuomba msaga sumu msamaha.siwezi mkuu...
Waungwana wazima?
Mimi nakumbuka mwaka 2013 nikiwa chuo mwaka wa kwanza nilijikuta naingia mkenge na mwl wangu ambae alikuwa mkenya akanikaribisha gheto kwake nikaenda tukapiga stori za hapa na pale mwl akijua atakula tunda la mwanafunzi wake nikagoma na kipindi hicho sijui hata mapenzi ni ni nilikuwa nasikia kwa watu tu..
Nakumbuka mamayangu alinipa wosia kuwa usikubali mwanaume akuchezee akikupenda mwambie twende kwa baba yangu mbezi ukajitambulishe ..mwalimu kapiga kiswahili nikawa simuelewi wakati huo nilikuwa na uhuru kidogo maana nilikuwa nakaa hosteli.
Mwalimu nakumbuka alilia akiniambia naomba tunda.. nikakataa.. akalia sana..
Baada ya kuniona nimekataa akaniambia siutalala kwangu leo nikajibu hapana..kama MUNGU vile aliniokoa Baba yangu akanipigia simu niko hapa hosteli kwenu uko wapi? Nikamjibu nipo Posta... Posta mbona kama upo sehemu yenye muziki sana? Nikasema hapan ni gari la matangazo linapita..akaguna nakupa dakika kumi nione sura yako hapa ...nikajibu sawa baba nakuja...
Mwl nikamuaga akasema okey huku akiwa amenuna kwelikweli akaniambia ngoja nitakupeleka mpaka Ubungo..tumefika hapa tanesco almanusura tupate ajali gari yake ikakwaruzwa na daladala.. nilibaki nikisema MUNGU wangu nisamehe..akaniambia usijali angetugonga angetulipa..
Akanishusha pale darajani nikamwaga.. Akashuka kwenye gari akanikumbatia akisema nakupenda sana****** .. Nilishindwa kumjibu mi nawaza Baba kaja kunitembelea nitamweleza posta nimeenda kufanyaje?...
Baada ya dakika chache akaniaga..huku akinipa buku teni.. Nakumbuka nilikwea gari fasta nikashuka hosteli nikamkuta mzee namsalimia akaniuliza una uhakika ulikuwa Posta? Nikajibu ndio.. alichoniambia hiyo tabia yako uliyoianza usipoacha mapema utanijua mim ni nani.. Nilichoka moyo ulikwenda kasi...
Lakini nayaandika haya nikiwa namwomba mwl wangu raia wa kenya anisamehe mim mwanafunzi wake kwa kumnyima tunda. Pia nilikuwa sitarajii kitu kama hicho kutoka kwake..najua utakuwa unaperuzi huku ukiona huu ujumbe naomba unisamehe.
Ni mimi mwanafunzi wako!
kuomba msamaha??? kwani kukataa kuzini ni kosa????kuomba msamaha mkuu
tujue kuwa yeye ni bint wa KiromboLengo n nn hasa?
Hongera wee jasiri !! I wish wasichana/wanafunzi wangelikuwa kama wewe.., leo TZ population ingelikuwa 15milion !!!ningetaka kumegwa wapo wa kufanya hivyo lakin mim lengo langu ni kuomba msamaha kwa mwl
Kwani ulifanya kosa kumnyima tunda??ningetaka kumegwa wapo wa kufanya hivyo lakin mim lengo langu ni kuomba msamaha kwa mwl