Nisamehe ewe Mwalimu

Nisamehe ewe Mwalimu

Hii thread inachekesha sana.

Pia sioni mwisho wake maana watu wanapenda sana matombo.
 
Yeye ndio alitakiwa akuombe ww msamaha na sio ww. Ww upo sawa sbb hakuwa na nia ya dhati, angekuwa serious angetoa mahari.
Najua unampenda sana, ndio maana umekuja humu kuomba msamaha. Unajuta kwa kitendo chako cha kumbania ticha papuchi.
Huu ni udhaifu wa hali ya juu. Yy alipaswa akuombe msamaha
 
Kuomba msamaha nikujutia kosa, nisambamba nakutamani hali ijirudie ili urekebishe ulipokosea... Utapata unachotaka
 
Bahati mbaya hajui nani anaitwa Binti wa Kirombo, na mwaka huo alitongoza mademu wengi sana wa chuo, kwa hiyo hatakukumbuka..

asante ...ndio maana inaitwa jamii forum chochote utakachojisikia kuandika unaandika kucapture attention ya watu...
 
Waungwana wazima?

Mimi nakumbuka mwaka 2013 nikiwa chuo mwaka wa kwanza nilijikuta naingia mkenge na mwl wangu ambae alikuwa mkenya akanikaribisha gheto kwake nikaenda tukapiga stori za hapa na pale mwl akijua atakula tunda la mwanafunzi wake nikagoma na kipindi hicho sijui hata mapenzi ni ni nilikuwa nasikia kwa watu tu..

Nakumbuka mamayangu alinipa wosia kuwa usikubali mwanaume akuchezee akikupenda mwambie twende kwa baba yangu mbezi ukajitambulishe ..mwalimu kapiga kiswahili nikawa simuelewi wakati huo nilikuwa na uhuru kidogo maana nilikuwa nakaa hosteli.

Mwalimu nakumbuka alilia akiniambia naomba tunda.. nikakataa.. akalia sana..

Baada ya kuniona nimekataa akaniambia siutalala kwangu leo nikajibu hapana..kama MUNGU vile aliniokoa Baba yangu akanipigia simu niko hapa hosteli kwenu uko wapi? Nikamjibu nipo Posta... Posta mbona kama upo sehemu yenye muziki sana? Nikasema hapan ni gari la matangazo linapita..akaguna nakupa dakika kumi nione sura yako hapa ...nikajibu sawa baba nakuja...

Mwl nikamuaga akasema okey huku akiwa amenuna kwelikweli akaniambia ngoja nitakupeleka mpaka Ubungo..tumefika hapa tanesco almanusura tupate ajali gari yake ikakwaruzwa na daladala.. nilibaki nikisema MUNGU wangu nisamehe..akaniambia usijali angetugonga angetulipa..

Akanishusha pale darajani nikamwaga.. Akashuka kwenye gari akanikumbatia akisema nakupenda sana****** .. Nilishindwa kumjibu mi nawaza Baba kaja kunitembelea nitamweleza posta nimeenda kufanyaje?...

Baada ya dakika chache akaniaga..huku akinipa buku teni.. Nakumbuka nilikwea gari fasta nikashuka hosteli nikamkuta mzee namsalimia akaniuliza una uhakika ulikuwa Posta? Nikajibu ndio.. alichoniambia hiyo tabia yako uliyoianza usipoacha mapema utanijua mim ni nani.. Nilichoka moyo ulikwenda kasi...

Lakini nayaandika haya nikiwa namwomba mwl wangu raia wa kenya anisamehe mim mwanafunzi wake kwa kumnyima tunda. Pia nilikuwa sitarajii kitu kama hicho kutoka kwake..najua utakuwa unaperuzi huku ukiona huu ujumbe naomba unisamehe.

Ni mimi mwanafunzi wako!
HAPA
KUNA HARUFU YA TANGAZO HAPA!
 
Daaah mkenya njoo papuchi uliyoihangaikia imeiva huku!!!!
 
huyu bint kamnyima tunda ticha, sasa inaonyesha tunda lake limeshaliwa na watu wa kila aina, sasa akifikiria hiv kwanin nilimnyima tunda Yule ticha nafsi inamsuta. . watu hawaokok kizembe zembe, inaonyesha umeliwa hadi unajistukia hiv ni mm manka wa mzee tarimo... jutia tu, hata kulia lia tu.
 
Waungwana wazima?

Mimi nakumbuka mwaka 2013 nikiwa chuo mwaka wa kwanza nilijikuta naingia mkenge na mwl wangu ambae alikuwa mkenya akanikaribisha gheto kwake nikaenda tukapiga stori za hapa na pale mwl akijua atakula tunda la mwanafunzi wake nikagoma na kipindi hicho sijui hata mapenzi ni ni nilikuwa nasikia kwa watu tu..

Nakumbuka mamayangu alinipa wosia kuwa usikubali mwanaume akuchezee akikupenda mwambie twende kwa baba yangu mbezi ukajitambulishe ..mwalimu kapiga kiswahili nikawa simuelewi wakati huo nilikuwa na uhuru kidogo maana nilikuwa nakaa hosteli.

Mwalimu nakumbuka alilia akiniambia naomba tunda.. nikakataa.. akalia sana..

Baada ya kuniona nimekataa akaniambia siutalala kwangu leo nikajibu hapana..kama MUNGU vile aliniokoa Baba yangu akanipigia simu niko hapa hosteli kwenu uko wapi? Nikamjibu nipo Posta... Posta mbona kama upo sehemu yenye muziki sana? Nikasema hapan ni gari la matangazo linapita..akaguna nakupa dakika kumi nione sura yako hapa ...nikajibu sawa baba nakuja...

Mwl nikamuaga akasema okey huku akiwa amenuna kwelikweli akaniambia ngoja nitakupeleka mpaka Ubungo..tumefika hapa tanesco almanusura tupate ajali gari yake ikakwaruzwa na daladala.. nilibaki nikisema MUNGU wangu nisamehe..akaniambia usijali angetugonga angetulipa..

Akanishusha pale darajani nikamwaga.. Akashuka kwenye gari akanikumbatia akisema nakupenda sana****** .. Nilishindwa kumjibu mi nawaza Baba kaja kunitembelea nitamweleza posta nimeenda kufanyaje?...

Baada ya dakika chache akaniaga..huku akinipa buku teni.. Nakumbuka nilikwea gari fasta nikashuka hosteli nikamkuta mzee namsalimia akaniuliza una uhakika ulikuwa Posta? Nikajibu ndio.. alichoniambia hiyo tabia yako uliyoianza usipoacha mapema utanijua mim ni nani.. Nilichoka moyo ulikwenda kasi...

Lakini nayaandika haya nikiwa namwomba mwl wangu raia wa kenya anisamehe mim mwanafunzi wake kwa kumnyima tunda. Pia nilikuwa sitarajii kitu kama hicho kutoka kwake..najua utakuwa unaperuzi huku ukiona huu ujumbe naomba unisamehe.

Ni mimi mwanafunzi wako!
Nimeshindwa kukusoma! Ko msamaha wa nini? Papuchi so yako na kama umeiletea maringo huitaji kumuomba mtu msamaha!
 
Back
Top Bottom