TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,513
- 11,276
mkuuwewe hujapata picha huyu mdada alivyonipiga mkwala alinitukana mwanzo mwisho nimeomba msamaha nahataki kunielewa sasa nimekaa tu hapa naomba asipate mimba na badae kama vipi nitaweka picha yake ili hata nikipotea mjue nani kampoteza mwana JF
Ok, iweke. Tukishajua tutaomboleza. Halafu nitaenda kuongea naye nione kama kweli anajua kuua.... RIP