Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,375
lakini mkuu turudi nyuma kidogo..hivi ukimaliza si unavua sox chafu na kuweka panapotakiwa?
mara nyingi ikitokea mpasuko huwa ni nchani lakini shingo(ile upper ring) lazima ibakie mabegani hivyo isingebaki ndani unless ilivuka halafu ukaipush na yeye kwa starehe hakunote
Nadhan wote mlikoleza ma-ballantines na mechi ikawa na vurugu sana halafu mkalala,kushtuka kumekucha mzee mzima ukapiga shower na kuchomoka
na kama alishafanya sex na mtu mwingine je kabla yako bila kinga je utajuaje kama umerutubisha wewe
anyway kapimeni tu mtajua
mara nyingi ikitokea mpasuko huwa ni nchani lakini shingo(ile upper ring) lazima ibakie mabegani hivyo isingebaki ndani unless ilivuka halafu ukaipush na yeye kwa starehe hakunote
Nadhan wote mlikoleza ma-ballantines na mechi ikawa na vurugu sana halafu mkalala,kushtuka kumekucha mzee mzima ukapiga shower na kuchomoka
na kama alishafanya sex na mtu mwingine je kabla yako bila kinga je utajuaje kama umerutubisha wewe
anyway kapimeni tu mtajua