Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,101
Njoo River Side hapa......jamani nipo hapa kwanye kituo cha daladala cha external nasubiri magari ya kwenda mbagala...lakina kama mnavyojua shida ya huu mji...magari muda huu ni shida
sasa jamani mwana jf yeyote ambaye anategemea kutumia hii njia kwa gari la binafsi anisaidie kunisogeza nyumbani