Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Aviator... mtaji wa laki unaingiza 10k per day
Njoo nikupe njiaHabari wakuu.
Naombeni njia ya kweli ambayo siyo scam ya kuingiza $2 online kwa siku.
Isiwe blogging na apps, forex, kubet, cryptocurrency na referral invite networking. sizitaki hizi njia kwasababu:
-Blogging na apps sina uzoefu nayo na sijasomea IT,
-Forex kuijua inabidi uache shughuli nyingine uconcetrate nayo,
-Kubet hakutabiriki, leo unapata kesho unakosa,
-Crypocurrency mtaji wake ni mkubwa, kima cha chini ni 100,000,
-Referral invite networking watu wanaiona ni utapeli kwakuwa wengi wameshalizwa.
Karibuni kwa ushauri wakuu, nitafurahi sana nikipata njia ya uhakika ya kuingiza $2 online kwa siku.
Tupe wote mkuuNjoo nikupe njia
Boss naomba nitajie hiyo applicationKuna zile survey app ambazo hutoa task ya kupiga picha zile ndo zinaweza kukupa hiyo range ya dollar 2 (japo sio mara zote utakutana na task ya namna hiyo)
Nadhani zile hazihitaji capital zaidi ya bundle lako tu
Mfano unaambiwa ukafanye survey kwenye ofisi za western union, huko unatakiwa ukapige picha na picha inatakiwa imekidhi vigezo ukileta janja janja haikubaliwi na mara nyingi task hiyo huwa inakupa 12,000 Tsh
Unalipwa kwa mpesa? Kuredeem ndio nini? Inahitaji bando kiasi gani?Unajiuga then unasubiri survey na ukifanya unalipwa ,ukifanikiwa kufikia dola 2 unaweza kureedem
Kujua forex inabidi uache shughuli nyingine na uconcetrate wakati mm ni graduate na nilianza kujifunza kabla ya kuchukia shada yangu...na Sasa hivi nipo saiti na Bado nasongaa...tatizo mwafrica kufanya research/utafiti anauliza kwa watu vijiweni au small circle bas wakati unaweza kugoogle ukaingia library na vitu vingine vinavyoweza kukupa information dah....kasheshee
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Weka kalyanda utakuja kunishukuruWadau nina mtaji wa 100,000 niwekeze wapi online sitaki zile za kubahatisha kama betting
True, na wengine hawapendi kuitwa Mataperi, thats why wanawachora tu....!Wabongo ni wachoyo sana kukupa siri ya hatua zote za mafanikio. Tangu uzi uanze aliyetoa jibu sahihi kwa mujibu wa swali langu ni mmoja tu, aliyesema nijaribu appen na oneforma. Waliobaki wote wanazunguka tu.