Nipe uzoefu wako kuhusu Songea/Ruvuma

Nipe uzoefu wako kuhusu Songea/Ruvuma

Nenda sehemu inaitwa Namabengo,,,utafurahi sana....pia msalimie binti Ndembo
Binti Ndembo uganga wake umeisha zamani, si alikiuka masharti, sahivi anaishi changalawe hapo.
Kaishiwa hana jipyaa, ila wakati wake alitikisa kutoa uchawi na kufufua misukule wazi wazi. Lol
 
Wjenge songea ipae zaidi.
Songea labda wangekabidhiwa Wazungu ndio wanajuwa kuijenga sehemu ukafurahi.

Mimi sehemu yenye vumbi na mimi tofauti kabisa, nitamisi sausage za Peramiho na Yogart za Mfaranyaki tu.
 
Tripple 7, iko msamala.
Virginia, iko matarawe
Ndungunya iko Msamala

Kwa Disi, hapa ni maarufu kwa kitimoto na nyama choma.

Delight Garden park, ni cafeteria na restaurant, linapatikana mkabala na hospital ya mkoa.

Krista park, cafeteria na restaurant, inapatikana nyuma ya makao makuu ya TANESCO mkoa.

Himo Garden, restaurant na cafeteria linapatikana mkabala na Krista park.

Etc
Ashindwe Mwenyewe Sasa
Songea Watoto Wazuri Wazuri (Lundenga)
 
😂🤣😂
Binti Ndembo uganga wake umeisha zamani, si alikiuka masharti, sahivi anaishi changalawe hapo.
Kaishiwa hana jipyaa, ila wakati wake alitikisa kutoa uchawi na kufufua misukule wazi wazi. Lol
✨️🤣😂🤣✨️✨️✨️Masharti Gani Tena
 
😂🤣😂

✨️🤣😂🤣✨️✨️✨️Masharti Gani Tena
Aliachana na mumewe wa ndoa mzee mwenzake, akapatana na kibenteni ambaye alikua dereva wake,

Majini na mizimu ikachukia kaishiwa, japo majini yakahamia kwa binti yake, alikua anasoma Domestic Matimira, naye alikataa kuwa mganga.
😂😂😂😂😂😂😂
 
Binti Ndembo uganga wake umeisha zamani, si alikiuka masharti, sahivi anaishi changalawe hapo.
Kaishiwa hana jipyaa, ila wakati wake alitikisa kutoa uchawi na kufufua misukule wazi wazi. Lol
Hakika na alifanya mengi sana ,ahsante nyingi zimfikie ,wakati ukuta ,wakati wake sasa umepita labda
 
La Charlz, ni club na pub kubwa na maarufu iko majengo karibu na lamoly.

Chantaburi ni club na pub kubwa na maarufu tena mpya iko Bombambili.

Ruhuwiko Hunt Club, hii ni ya 3⭐ iko Ruhuwiko, ni sehemu maalumu ya watu wa heshima, maarufu na maalumu.

Bwawani, hii ni sehemu ya starehe kwa rika zote, iko Namanditi njia ya Mbinga.

Na kadhalika.
Ruhuwiko sehemu gani
 
Back
Top Bottom