Virginia nilipita siku moja nikaondoka na mrembo mmoja mtamu sanaa wa kinyaturu mweupee amejaa sehemu zote wakuitwa fetty..Tripple 7, iko msamala.
Virginia, iko matarawe
Ndungunya iko Msamala
Kwa Disi, hapa ni maarufu kwa kitimoto na nyama choma.
Delight Garden park, ni cafeteria na restaurant, linapatikana mkabala na hospital ya mkoa.
Krista park, cafeteria na restaurant, inapatikana nyuma ya makao makuu ya TANESCO mkoa.
Himo Garden, restaurant na cafeteria linapatikana mkabala na Krista park.
Etc
Karibu tena kunyumba.Virginia nilipita siku moja nikaondoka na mrembo mmoja mtamu sanaa wa kinyaturu mweupee amejaa sehemu zote wakuitwa fetty..
La chaz sikupapenda kulipoa sana, but virginia was lit 🔥
Btw ruvuma imenitendea mazuri sana siwezi kusahau!
Mbona humwelekezi pande za ndongosi, liweta, litapwasi, akalime makabaKaribu tena kunyumba.
Usinikumbushe pale garden nilikalishwa na manzi hadi saa 4 usiku naliwa na mbu nikanywa juice hadi nikachoka daah😢😢😢Poaaa!!
Siendi tena😁,Bora niende ziwani nikashangae maji😍😂😂😂😂 hatari sana Mlongo.
Wilaya aliyozikwa jenista mhagama😁Ndio wapi?
Songea PLAZA inajengwa sehemu gani??Ndiyo, mie ni Wakunyumba.
Akaribie hadi namatuhi na muhukuru kwa kulima Ufuta na maharage.Mbona humwelekezi pande za ndongosi, liweta, litapwasi, akalime makaba
Lilipokua soko la Manzese zamaniSongea PLAZA inajengwa sehemu gani??
😂😂😂😂😂 ilikuajee?Siendi tena😁,Bora niende ziwani nikashangae maji😍
Wapi? Delight, au Krista, au Himo??Usinikumbushe pale garden nilikalishwa na manzi hadi saa 4 usiku naliwa na mbu nikanywa juice hadi nikachoka daah😢😢😢
Yaan😁😁,tulizungushwa sijui tuliona wanyama wawili😁,nikamwambia nimechoka kutembea nirudi TU🙌,,ushaisikia Mbinga Zuu?😂😂😂😂😂 ilikuajee?
Nimeipata habari eti lilipo ghorofa la shaibu kitete inabidi libomolewe🙌Wapi? Delight, au Krista, au Himo??
😂😂😂😂😂😂😂
Kuna mwaka niliwahi kujaga huko songea, hivi ile yapenda mtini bado ipo?Uwanja wa maji maji, huu ni uwanja wa kihistoria, unapatikana mjini kati.
Mashujaa, hapo ni kuna kumbu kumbu ya wapiganaji wa zamani, makaburi yao na baadhi ya silaha walizotumia, eneo ni hapo Mahenge.
Soko kuu, hili linapatikana mjini kati.
Soko la bombambili,
Soko la mazao, linapatikana msamala.
Soko la samaki na dagaa, linapatikana mfaranyaki.
Peramiho mission hospital na seminari kuu,
Ni vyanzo vikuu vya tiba na Elimu kwa wamisionari wakiwa hapa enzi hizo, zinapatikana Peramiho, nje kidogo ya mji wa Songea
Maliasili, hapa kuna hifadhi ndogo ya wanyama, imeanzishwa km miaka 3 nyuma, linapatikana Mtaa wa Mkuzo.
Etc.
Ipo, ila toka mmiliki afe, mzee OK, imechundraaa, inasua sua sanaa.Kuna mwaka niliwahi kujaga huko songea, hivi ile yapenda mtini bado ipo?
Sijasikia mbona. 😂😂😂Yaan😁😁,tulizungushwa sijui tuliona wanyama wawili😁,nikamwambia nimechoka kutembea nirudi TU🙌,,ushaisikia Mbinga Zuu?
Yess linabomolewa pia.Nimeipata habari eti lilipo ghorofa la shaibu kitete inabidi libomolewe🙌View attachment 3541732