Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 26,081
- 137,313
Wjenge songea ipae zaidi.Yess linabomolewa pia.
Wjenge songea ipae zaidi.Yess linabomolewa pia.
Mbinga Zuu ipo mbinga ya mkuu mstaafu wa jeshi,,Sijasikia mbona. 😂😂😂
Nilienda oia ile club yenu ilikua karibu na uwanja. Nimeisahau jinaIpo, ila toka mmiliki afe, mzee OK, imechundraaa, inasua sua sanaa.
Mabeyo??Mbinga Zuu ipo mbinga ya mkuu mstaafu wa jeshi,,
Ni Jambo Lee hiyo. Imekufa kibudu.Nilienda oia ile club yenu ilikua karibu na uwanja. Nimeisahau jina
Haswaaa.Wjenge songea ipae zaidi.
Lilipokua soko la Manzese zamani
Nahisi km hivyo.Hii inajengwa na shirika la nyumba la Taifa(NHC)..?
👍 Ni yeye.Mabeyo??
Karibu Songea kijanaNa hapo wapi nawapata Watoto wazuri? Hata Yesu alisema waacheni Watoto wazuri waje kwangu.. nipe uelekeo mkuu
Nimekaribia mkuu,Karibu Songea kijana
View attachment 3541891
Upo kwenye libeneke muda huu, sivyo?Nimekaribia mkuu,
Aisee huyo manzi si ana kithembe?Virginia nilipita siku moja nikaondoka na mrembo mmoja mtamu sanaa wa kinyaturu mweupee amejaa sehemu zote wakuitwa fetty..
La chaz sikupapenda kulipoa sana, but virginia was lit 🔥
Btw ruvuma imenitendea mazuri sana siwezi kusahau!
Songea hata iweje haitoifikia masasiWjenge songea ipae zaidi.
KRista pale🤣🤣🤣Wapi? Delight, au Krista, au Himo??
😂😂😂😂😂😂😂
Nenda sehemu inaitwa Namabengo,,,utafurahi sana....pia msalimie binti NdemboWakuu heri ya jumapili,
Kwa mara ya kwanza nimefika mkoa wa Ruvuma aka Songea.
Naomba kujua maeneo muhimu nifike ili nisijilaumu nikiyajua baada ya kurudi nilikotoka!
Hayo tu wakuu, natanguliza shukrani za dating.
Uzi tayari
Kwa kweli siku notice iko kitu.. ila ni mtu wa singida, mweupe sanaa na ana limzigo balaa.Aisee huyo manzi si ana kithembe?
Ana rafiki ake mchaga hivi, jina lake sikumbuki vizuri km sio asha basi amina.. nae amefunga sana, ana shepu na mguu wa kutosha!Aisee huyo manzi si ana kithembe?
Nimecheka Hadi nimepaliwa😀,masasi ipi iyo mzee?Songea hata iweje haitoifikia masasi
Wee mbona hatariiiii.👍 Ni yeye.