Mh, ni ngumu aisee. Yaani uolewe na mtu usiyemfeel hata ukucha?
Sasa umekuja kuomba ushauri wa nini? We ushampenda mr x nenda kateseke.
Mh, ni ngumu aisee. Yaani uolewe na mtu usiyemfeel hata ukucha?
Sasa umekuja kuomba ushauri wa nini? We ushampenda mr x nenda kateseke.
nashukuru kwa ushauri mzuri dada yangu. Mungu akubariki.
Halafu umeokoka!! mbwa anaweza kuongea?? wewe ni mlokole mnafiki na mwongo
Heeeeeeeeey! DONT GET JUDGY AND CONDEMIN!!!!!!!!!!!!!!
Sasa kwani mlokole yeye hana Moyo?
Mlokole hana hisia na matamanio ya kimwili?
Hapendi nae apate mwenza wa maisha?
Acha mambo zako kabisaaaa! Kama wewe umeokaka na umejaaliwa mzigo ulio mwepesi usihukumu wengine, Mwache mwenzio mzigo wake wa miba mzito kama nini, na yupo in critical stage that will transform her life.
WE ARE NOT ALL LUCKY! Other wise hata yeye angependa ampende mtu ampendae, dini yake n everythin in place! But if life was that straight and fully blassed we wouldnt go to church would we? Atleast i wouldnt! (Ofcourse i ususlly go to church to negotiate for lighter odds, just try to reason with The Oga on top! Sometimes it works sometimes he it just doesnt so i go to church more for even more reasoning and bargains.
huyu amesema hivyo baada ya mlokole(mwenye uzi) kumjibu mwenzie anaongea na mfuga mbwa na sio mbwa.
una maana gani mlokole?
Halafu umeokoka!!
Mathayo 5:38 "Mmesikia
kwamba imenenwa jicho kwa jicho na jino
kwa jino.
Bora huyo ucye mfeel kuliko unaemfeel af ye hana mpango na wew hakika utaona dunia inakuelemeaMh, ni ngumu aisee. Yaani uolewe na mtu usiyemfeel hata ukucha?
kuongea sio kutenda,ila kwa ufahamu wangu juu ya mapenzi kama unanielewa nakushauri uolewe na unae mpenda,ila kuna changamoto nyingi kwa umpendae kuliko akupendae.Ndiyo Mr. X alishanitamkia na anapenda sana kuongelea future zaidi.
Mh, ni ngumu aisee. Yaani uolewe na mtu usiyemfeel hata ukucha?
Kwahiyo wote unaendelea ku du nao kila mmoja kwa wakati wake au.