According to contract law, binti 15 yrs is still a minor, incompetent, and she is unable to decide on her own. Hata kukubali kuolewa kwako si kwa hiari yake ya kibusara kwani anatakiwa aende skuli kwanza then ndo atakuja realize kuwa marriage nayo ina nafasi yake hasa atakapokuwa amepata vidato.
Hata wewe muoaji binti 15 yrs bila kujali amevunja ungo, can enjoy sex coz tubinti twa siku hizi acha kabisa kwaqni tunaweza kubeba saizi ya babu zao (nina ushahidi ukiutaka), but govt itakuchukulia wewe kama filaji filauni mkubwa!!! This can not sound good how come mzee kama wewe u wanna marry binti saizi ya mwanao????
Think twice b4 you all taking HIV/AIDS and STD tests ndo stg nyingine yaja thereto.