SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Ni kweli mtoto chini ya miaka 18 hawezi kukubali kufanya mapenzi? au ni lugha tu mkuu hapo?
Nadhani neno 'kukubali' linapewa maana pana zaidi kisheria. Ni kama vile ambavyo huwezi kuingia mkataba na mtu wa chini ya miaka 18 kwa kuwa anachukuliwa kwamba hajapevuka vya kutosha kufanya maamuzi sahihi.