Kama unaenda for fuel consumption pengine Land cruiser itafaa. Kama unatafuta gari luxury bila kujali mafuta, spea na gharama zingine Range inapendeza zaidi.
Afadhali umesema hujaendesha Range Rover.....Sijaendesha Range ila Land Cruiser hizi mjapani za Diesel zinakula mafuta vizuri sana kuliko hata gari ndogo hizi mnaita GX 110.
Kama unaenda for fuel consumption pengine Land cruiser itafaa. Kama unatafuta gari luxury bila kujali mafuta, spea na gharama zingine Range inapendeza zaidi.
Fikiria upatikanaji wa spea na mafundi likikuharibikia popote.
Range Rover ni mgogoro. Landcruser spea nyingi na mafundi wanaoziwezea zikileta za kuleta wengi wengi mno hadi uswahilini wapo.
Land Cruiser ndo mpango Range rover ni ndoa ya kikristo
Wadau poleni na majukumu...
Nimejaribu kufanya utafiti ili niweze kujua ubora wa haya magari mawili,,,
Ninaomba ambao wanayamiliki au wenye upeo nao wanisaidie nifanye uchaguzi sahihi....
Ninunue kati ya Range Rover Sport au Land Cruiser VX?
Natanguliza shukrani
Wengine bado tunasubiri bahati nasibu ya Bajaj na tiGO.....Labda ungeuliza kati ya Swift na Vitz angalao..