Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,433
- 4,224
Hivi ndo alikuwa Futungo anaibukia au ? Maana naona kimya baada ya keleleKama unavijua, vitaje!
1.kulinda masilahi ya Kikwete
2.Kuzuru nchi zote za ulaya na Amerika
3.Kugawa pato la nchi sawa Kati ya Zanzibar na Tz