Nini unakimiss usiku wa leo?

Nini unakimiss usiku wa leo?

Na ulinzi umekushinda, Maka ana miezi miwili hayupo nyumbani🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
😹😹😹
Jamani doria imenishinda sa itakuwaje boss wangu?

Wee makaveli10 unanitakia nini lakini mwenzio? 😥
Nikikosa salary kwa atoto utanilipa wewe au huo mchepuko wako uliokuficha mwezi mzima..!! 😹😹😹
 
😹😹😹
Jamani doria imenishinda sa itakuwaje boss wangu?

Wee makaveli10 unanitakia nini lakini mwenzio? 😥
Nikikosa salary kwa atoto utanilipa wewe au huo mchepuko wako uliokuficha mwezi mzima..!! 😹😹😹
Ukikosa kwa Atoto nitakulipa mwenyewe kwani sh ngapi..

Halafu sikuwa kwa mchepuko, ni mihangaiko ya fwedha, akiona msg ya nmb muamala umefanyikq MENO THELATHINI NA NJE YOTE MBILI,
Ila kwenye kuzisaka analeta wivu, ngoja mwezi huu sitoi KODI YA MEZA tuone jeuri yake, ataambulia huo huo mshahara wa kuonewa huruwa na jamhuri ya muungano 🤣😂
 
Back
Top Bottom