Nini unakimiss usiku wa leo?

Nini unakimiss usiku wa leo?

😹😹😹
Jamani doria imenishinda sa itakuwaje boss wangu?

Wee makaveli10 unanitakia nini lakini mwenzio? 😥
Nikikosa salary kwa atoto utanilipa wewe au huo mchepuko wako uliokuficha mwezi mzima..!! 😹😹😹

Mlinzi unasinzia unaacha lindo limezubaa🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Ukikosa kwa Atoto nitakulipa mwenyewe kwani sh ngapi..

Halafu sikuwa kwa mchepuko, ni mihangaiko ya fwedha, akiona msg ya nmb muamala umefanyikq MENO THELATHINI NA NJE YOTE MBILI,
Ila kwenye kuzisaka analeta wivu, ngoja mwezi huu sitoi KODI YA MEZA tuone jeuri yake, ataambulia huo huo mshahara wa kuonewa huruwa na jamhuri ya muungano 🤣😂

Lamomy asikudanganye huyu. Tapeli huyu hatokulipa, hilo jimama lake halina hata mia mbovu🤣🤣
 
🤣🤣🤣

Sawa maana nilifikiri kula nikataka kusema duuh mzee una mabalaa!

Enewei, pole sana, mkeo yuko wapi?
Dah! Hiyo michezo ya kupakua kinyesi imenikalia kushoto kabisa, sio mambo yangu kabisa, bora NIULOMBE MKONO, kuliko KULILOMBA TAKO

Hayupo, mtaani niko mwenyewe tu
 
Back
Top Bottom