Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,822
Kwa moyo wa dhati, naomba tulijadili hili kiutu uzima, huende tukaokoa maisha ya mtu mmoja.
Umeoa?Muache
Mara 3 .na moja ndo naishi nayo kwa amanUmeoa?
HayaMara 3 .na moja ndo naishi nayo kwa aman
Mzee mmoja wa kichaga alikuwa anampa wasaa mwanae wa kiume kwenye harusi yake. Akamwambia "Mwanangu mimi sitaki kupindisha maneno. Nakuambia ukweli. Ukubali ukatae shauri yako. Akamwambia kwenye ndoa yako ukiona vituko vimezidi cheki mfukoni mwako au katika account yako ya benki.Ukiona mfuko uko vizuri na benki uko vizuri na bado vituko haviishi ujue wewe ndio tatizo.expand...
Bado utarudi home na kukuta vituko vinakungojaChepuka
Hajalogwa!? Tuanzie hapo kwanzaKwa moyo wa dhati, naomba tulijadili hili kiutu uzima, huende tukaokoa maisha ya mtu mmoja.
Kama huna hela imekula kwako. Kama una hela unampiga matukio mpaka mwenyewe arudi kwenye laini.Kwa moyo wa dhati, naomba tulijadili hili kiutu uzima, huende tukaokoa maisha ya mtu mmoja.
Nitajuaje?Hajalogwa!? Tuanzie hapo kwanza
Kwa moyo wa dhati, naomba tulijadili hili kiutu uzima, huende tukaokoa maisha ya mtu mmoja.